Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayo thread!? Dah!Kamanda yupo imara yuko fiti kwa mapambano.....
Nikisemaa mboweeeeee..........unajibu , mitano teeenaaaaaaaa
5tenaaaaaaaaaaaaaaa.
Bila Mbowe hakuna Chadema Imara.
Mbowe aachie wengine..
Haahaa miaka 20+ inatosha, kwa sasa akasimamie biashara zake.wanachadema tunaenda na lissuKamanda yupo imara yuko fiti kwa mapambano.....
Nikisemaa mboweeeeee..........unajibu , mitano teeenaaaaaaaa
5tenaaaaaaaaaaaaaaa.
Bila Mbowe hakuna Chadema Imara.
Hatuwezi kukabidhi chama kwa raia wa Ubelgiji.
Hamna tofauti na CCM wanaokomalia madaraka...Bila Mhe. Mbowe kamwe Chadema haiwezi kuwa Imara.
Hatuwezi kumkabidhi chama raia wa UBELGIJI.
Kamati kuu tunaenda na Mbowe.Mbowe hafai
Kabisa.Kamanda yupo imara yuko fiti kwa mapambano.....
Nikisemaa mboweeeeee..........unajibu , mitano teeenaaaaaaaa
5tenaaaaaaaaaaaaaaa.
Bila Mbowe hakuna Chadema Imara.
Hatuwezi kukabidhi chama kwa raia wa Ubelgiji.
Mbowe kafanya mengi, ila kwa sasa tunamuomba kwa heshma apumzike.Abaki mjumbe wa kudumu wa chama, lissu achukue nafasiMbowe hafai
Kwani asipokuwa mwenyekiti hatakuwa chadema?😅Mbowe bado yupo sana CDM, ukikereka basi kaandamane kumtoa Dr. miogo
Kamati kuu ipi mkuu? Hii iliyopo inafika mwishoKamati kuu tunaenda na Mbowe.
Uchaguzi utatangazwa laivu bila chenga.
Mboweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeèeeeeee
Mitano tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wajumbe watakao piga kura.Kamati kuu ipi mkuu? Hii iliyopo inafika mwisho
...Mara mia mkaazi wa ubelgiji kuliko nkurunzinza, miaka 20 Bado tu hapana hapanaWajumbe watakao piga kura.
Hatuwezi mkabidhi chama mkaazi wa ubelgiji.
...Mara mia mkaazi wa ubelgiji kuliko nkurunzinza, miaka 20 Bado tu hapana hapana