Mbowe's arrest lawful – Ndugai

Mngeendelea kumuweka ndani halafu nguvu ya umma ingekwambia kama ni lawful au siyo.
 
.....I was expecting this type of comments from people like Ndugai..............Nonsense...
 
Ndugai ni miongoni mwa wabunge waliopewa nafasi na hawana uwezo na viatu walivyopewa. Tangu alipo toa maelezo ya kufuta kambi rasmi ya upinzani nilikosa imani nae. Ni aina ya kilaza kwenye kufanya maamuzi.
 
Naibu Spika na Spika wake wote wamepaa nafasi hizo kwa kuwa manazi wakubwa wa CCM unategemea bisara yeyote kweli toka kwao ?
 
Ndugai ni miongoni mwa wabunge waliopewa nafasi na hawana uwezo na viatu walivyopewa. Tangu alipo toa maelezo ya kufuta kambi rasmi ya upinzani nilikosa imani nae. Ni aina ya kilaza kwenye kufanya maamuzi.
 
katumwa na mabosi wake ambao ni magamba
 
tulitarajia majibu kama hayo from ndugai no surprise,people's powerrrrrr!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…