Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Mbu wa Dar wanatongoza kabla ya kung'ata uatasikia nzuuu nzuuu nzuuu, ukiwapush wepesi kinoma, dawa za kuchoma tu wapo hoi bin taabani.
Mbu hana afya kabisa.....
Mbu mwembamba kama sisimizi......
Mbu kakondeana kwa utapiamlo mkali.....
Mbu anahitaji msaada wa haraka ICU direct..
Malaria yao ukinywa maji mengi tu inaisha chap!
Mbu iking'ata kama inafanya massage
Njoo huku Kyela ukutane na
Mbu imeshiba
Mbu haitongozi, ni ming'ato tu
Mbu zinanyanyua net ndio zinaingia
Mbu unachoma dawa bado zipo ngangari kama Gen Z kule Kenya.
Malaria 🦟 yake bila sindano ya Artesunate hutoboi.
Mbu ukimpush ni mzito na ndo umemtia hasira
Mbu ukikutana nae unampisha kama binadamu.
Mbu akikung'ata haachi kipele anakuachia nundu kama za Mandonga akichezea kichapo
Mbu akikuchoma kama umechomwa na sindano 10cc yenye penadu. Lazima upake kishoka au diclogel kupunguza maumivu.
Mbu akikunyonya damu ni kuanzia robo lita ndo anakuacha.
Mbu inaweza beba mtoto na ikasepa nae.
Akiwa anapaa utazani umewasha feni panga boi
Kiufupi MBU wa Kyela sio wa mchezo mchezo wanajua kusudi la uwepo wao hapa duniani.
Mbu hana afya kabisa.....
Mbu mwembamba kama sisimizi......
Mbu kakondeana kwa utapiamlo mkali.....
Mbu anahitaji msaada wa haraka ICU direct..
Malaria yao ukinywa maji mengi tu inaisha chap!
Mbu iking'ata kama inafanya massage
Njoo huku Kyela ukutane na
Mbu imeshiba
Mbu haitongozi, ni ming'ato tu
Mbu zinanyanyua net ndio zinaingia
Mbu unachoma dawa bado zipo ngangari kama Gen Z kule Kenya.
Malaria 🦟 yake bila sindano ya Artesunate hutoboi.
Mbu ukimpush ni mzito na ndo umemtia hasira
Mbu ukikutana nae unampisha kama binadamu.
Mbu akikung'ata haachi kipele anakuachia nundu kama za Mandonga akichezea kichapo
Mbu akikuchoma kama umechomwa na sindano 10cc yenye penadu. Lazima upake kishoka au diclogel kupunguza maumivu.
Mbu akikunyonya damu ni kuanzia robo lita ndo anakuacha.
Mbu inaweza beba mtoto na ikasepa nae.
Akiwa anapaa utazani umewasha feni panga boi
Kiufupi MBU wa Kyela sio wa mchezo mchezo wanajua kusudi la uwepo wao hapa duniani.