Paka wa dar hawakati panyaJiji lipo resi sana mbu nao lazima wataabike
We mbu wangu njoo uninyonye damu 😎😂😂😂🙌🏾
Umejuaje kuwa wanaume wa ...............Paka wa dar hawakati panya
mbu wa dar hawana maajabu...
Wanaume wa dar.....
😂😂 Najuta kukufahamWe mbu wangu njoo uninyonye damu 😎
Nakusubir uje uninyonye 😎😂😂 Najuta kukufaham
Shindwa pepo 😂Nakusubir uje uninyonye 😎
Kwan hutaki kuninyonya?Shindwa pepo 😂
😬😬😬.. Mbu zinanyanyua net ndio zinaingia
. Mbu ukimpush ni mzito na ndo umemtia hasira
wamesemwa sana wanaume wa dar et wanaogopa hata mendeUmejuaje kuwa wanaume wa ...............
Dah nimelia sana 😭
mijusi ndo kabisa, akimuona mjusi haiingii ndaniMijusi vp?
😀😀😀hii itakua sio malariaMalaria yao ukinywa maji mengi tu inaisha chap!