Mshua's
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 804
- 553
Wakuu habari zenu?
Mbu nyumbani kwangu wamekithiri kiasi kwamba ugonjwa wa Malaria hautibiki ukaisha kabisa. Vilevile kero ya kung'atwa na mbu kila mahali tukiwa nyumbani vimetuchosha, tunaomba msaada wa kuwaangamiza mbu hawa!
MAZALIO YA MBU
Yapo katika shimo la choo, mbu hutoka kupitia sinki la choo na kuenea nyumba nzima. Mazingira ya nyumba yoko safi kwa nje.
JITIHADA ZA KUZUIYA
Nimeweka mapazia ili kuzuiya mbu wasiingie moja kwa moja madirishani na milangoni. Hupulizia dawa aidha Expell au Hit, siku hiyo huwa shwari lakini kesho yake tatizo linarudia. Pia hutumia vyandarua.
Mwenye njia mbdala naomba atusaidie ili tuepukane na tatizo hili.
Mbu nyumbani kwangu wamekithiri kiasi kwamba ugonjwa wa Malaria hautibiki ukaisha kabisa. Vilevile kero ya kung'atwa na mbu kila mahali tukiwa nyumbani vimetuchosha, tunaomba msaada wa kuwaangamiza mbu hawa!
MAZALIO YA MBU
Yapo katika shimo la choo, mbu hutoka kupitia sinki la choo na kuenea nyumba nzima. Mazingira ya nyumba yoko safi kwa nje.
JITIHADA ZA KUZUIYA
Nimeweka mapazia ili kuzuiya mbu wasiingie moja kwa moja madirishani na milangoni. Hupulizia dawa aidha Expell au Hit, siku hiyo huwa shwari lakini kesho yake tatizo linarudia. Pia hutumia vyandarua.
Mwenye njia mbdala naomba atusaidie ili tuepukane na tatizo hili.