MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #21
MJ1 mbona heading inamuhusu Mbu ndo muzee ? am kiddin' na wewe uwe na weekend njema
Joseph aksante..........but kuitumia kwa manufaa ndo kupi kwani weekend si ni ya kupumzika au??Na kwako pia,itumie kwa manufaa.
sasa sijui hata ni kwa nini nimemkumbuka tu Mbu...... halafu nimejiquote mwenyewe !!.......... naona nadata
jamani weekend njema nimesema
Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.
Sijui mzima huko aliko??😛out::A S confused::A S confused:
hahaha PJ jamani si namba yako ya zain imechakachuliwa kaka yangu sasa nalaumiwa ati nimekubinafsisha..... Acid huyo!!Ooooh..Thanx alot dear!
U r too silent!
Mbu=Marrie But Unstoppable!...
Did you mean something different honey?
Ruksa babu ila tushee ulichokisoma...... lololol L.....in.... t....a...!!Mjukuu nisome katikati ya mistari hapo?
Hivi unajua kama si hiki kiungo weye usingekuwepo leo? Au kuna haja ya kufanya DNA test? Haya tema mate chini kabla sijakigonga hicho kiungo ardhini mara tatu upate habari yako:A S 13::A S 13:Ushindwe na ulegee kiungo chako muhimu..... Infii hakuna hapa.
Weekend njema
salamu kwa eliza
Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.
Sijui mzima huko aliko??😛out::A S confused::A S confused:
Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.
Sijui mzima huko aliko??😛out::A S confused::A S confused:
Umeanza...............kuna kitu kinamiss apart from Mbu?:tonguez:
Maskini mbu mwenyewe haelekei kuelewa somo. Pole dada.
Umeanza...............
Hommie nisomeje hapo? kwa mawani yangu au ndo kama ulivoandika?Sorry ntamalizia pia lakini si wajua ni kawaida mimi 'kuanza' ndo maumbile....:tonguez:
Ooooh..Thanx alot dear!
U r too silent!
Mbu=Marrie But Unstoppable!...
Did you mean something different honey?
Hahaaaaa... karibu sana freedom
Hommie nisomeje hapo? kwa mawani yangu au ndo kama ulivoandika?
Nithamehe Babu lakini kwani kiungo muhimu ni kipi?Hivi unajua kama si hiki kiungo weye usingekuwepo leo? Au kuna haja ya kufanya DNA test? Haya tema mate chini kabla sijakigonga hicho kiungo ardhini mara tatu upate habari yako:A S 13::A S 13:
Ama ndugu yangu wala sihitaji Mbu aelewe kitu... nataka ajue tu kuwa he has been missed a lot jukwaani.Maskini mbu mwenyewe haelekei kuelewa somo. Pole dada.
:loco:......................
jamani muwe na weekend njema.