Mbu

MJ1 mbona heading inamuhusu Mbu ndo muzee ? am kiddin' na wewe uwe na weekend njema

Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.

Sijui mzima huko aliko??😛out::A S confused::A S confused:
 
sasa sijui hata ni kwa nini nimemkumbuka tu Mbu...... halafu nimejiquote mwenyewe !!.......... naona nadata

jamani weekend njema nimesema

Mjukuu nisome katikati ya mistari hapo?
 
Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.

Sijui mzima huko aliko??😛out::A S confused::A S confused:

MJ1 nadhani na yeye alikumiss bwana umeingia kwa Room na yeye kajitokeza ..enjoy ur weekend D
 
Ooooh..Thanx alot dear!
U r too silent!
Mbu=Marrie But Unstoppable!...

Did you mean something different honey?
hahaha PJ jamani si namba yako ya zain imechakachuliwa kaka yangu sasa nalaumiwa ati nimekubinafsisha..... Acid huyo!!

Hicho kirefu cha Mbu mh !!
 
Ushindwe na ulegee kiungo chako muhimu..... Infii hakuna hapa.


Weekend njema
salamu kwa eliza
Hivi unajua kama si hiki kiungo weye usingekuwepo leo? Au kuna haja ya kufanya DNA test? Haya tema mate chini kabla sijakigonga hicho kiungo ardhini mara tatu upate habari yako:A S 13::A S 13:
 
Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.

Sijui mzima huko aliko??😛out::A S confused::A S confused:

...ha ha ha, ...MJ'1........ 'Sssshhhhhhhhhhhh!'
 
Ah FL1 ... we acha tu... nadhani nimemiss Mbu jukwaani maana leo tangu asubuhi kang'ang'ania ubongo wangu.

Sijui mzima huko aliko??😛out::A S confused::A S confused:

Maskini mbu mwenyewe haelekei kuelewa somo. Pole dada.
 
Sorry ntamalizia pia lakini si wajua ni kawaida mimi 'kuanza' ndo maumbile....:tonguez:
Hommie nisomeje hapo? kwa mawani yangu au ndo kama ulivoandika?
 
Hahaaaaa... karibu sana freedom


asee ukimaliza hapo unaenda 7UP kisha unarudi kijiweni FLORIDA, malizia na soweto kisha miziki ya zamani pale 77 ((sijui kamaipo bado?)
 
Hivi unajua kama si hiki kiungo weye usingekuwepo leo? Au kuna haja ya kufanya DNA test? Haya tema mate chini kabla sijakigonga hicho kiungo ardhini mara tatu upate habari yako:A S 13::A S 13:
Nithamehe Babu lakini kwani kiungo muhimu ni kipi?

Nisamehe Babu I withdraw my statement.
 
Maskini mbu mwenyewe haelekei kuelewa somo. Pole dada.
Ama ndugu yangu wala sihitaji Mbu aelewe kitu... nataka ajue tu kuwa he has been missed a lot jukwaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…