Mbuga 3 za Tanzania zaingia kwenye vivutio 25 bora duniani: Serengeti yaongoza, Mlima Kilimanjaro nafasi ya 12 na Mbuga ya Tarangire nafasi ya 14

Ingekua mara ya kwanza kwenu nyie kupata hizi tuzo labda ingekua dili, lakini kutajwa wenye vivutio bora, sio mara ya kwanza, ila kama nilivyosema, haupewi vyote, uchague moja kati ya ubongo na raslimali....dayaspora wa Buza...aka ze ze ze
Povu la nini jamaniiii

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Ona ulivyokuwa mtumwaaa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Ili kumfariji mzee baba, mwambieni burigi ilikuwa ya 567 lakini tangu mwaka uanze imepanda kwa kasi mpaka ya 26 ni kwa sababu tu hiyo list imeishia 25 ingeendelea burigi ingekuwepo.
 
Ingekua mara ya kwanza kwenu nyie kupata hizi tuzo labda ingekua dili, lakini kutajwa wenye vivutio bora, sio mara ya kwanza, ila kama nilivyosema, haupewi vyote, uchague moja kati ya ubongo na raslimali....dayaspora wa Buza...aka ze ze ze
What's your point? That "Tanzanians can't speak English" or that "Serengeti's high recognition is not valuable"?

First, English proficiency does not determine the intelligence of a person. The more languages one knows the more access they have to opportunities, but being unable to master English is not as big a deal as you are trying to insist here.

Second, this achievement provides positive publicity which goes a long way. Tourism's contribution to the economy is on a growing trend. Our focus now is strategizing beyond post-Covid, and any positive publicity is a welcome stepping stone.
 
Mtazunguka mbuyu ila ze ze ze ndio shida yenu na wengi wanalijua hilo ila kwa sababu imeshindikana kujiongeza, maana ile lugha inataka kauwezo fulani.....hehehehe

I never expected that you are such a fool.
 
Kwanini Burigi-Chato haikuingia, mh Raisi Magufuli tumbua watumishi hapo Burigi wanakuangusha haiwezekani mbuga nzuri kama Burigi isiwepo katika list
 
Nzuri hii
 
I never expected that you are such a fool.

Endelea kuokoteza kingereza ukoko ila mpaka utafahamu ze ze ze inawaharibia, asilimia 80% ya watalii hawarudi licha ya nyie kuongoza duniani kwa vivutio bora vya utalii. Kweli haupewi vyote, uchague raslimali au ubongo lakini sio vyote.
 
hawa majamaa yetu konyo sana wakipewa ukweli mchungu utasikia msiwasikize mabeberu hao ila wakisifiwa kama hivi basi kutwa kucha wanainua mabango ya kujisifia utafikiri wendawazim. nyambaff kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…