Mbulu na Babati kuna mabinti wazuri

Hahahaha hao ndio Wamburu a.ka. Wairaq unaweza ukauza hadi mswaki ila chunga sana kaka zao wakali usije ukarudi jina tu.
Jamani mungu anaumba asee yani wana vimacho flani nimeingia ngahawa hapa kana kwamba ananikonyeza nimehisi rungu ndani ubongo chai nakunywa polepole yeye kakaa kaunta namkonyeza[emoji7]
 
Mkuu huko ni balaa siku moja nilikuwa Dongobesh kuhudhuria msiba khaa asubuhi nikakuta kabint kanauza mitumba aisee na msomari si msomari ukimuweka kwenye uhabesh siyo kwa kweli watoto wamejaaliwa
 
Reactions: SDG
pitia endamarariek ,endabash,rhotia,mbulumbulu,dongobesh,mbulu kwa daudi ... wanavutia kwa macho kweli ila udongo wao mbaya wanachoka mapema
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…