Hii kali
Nilidhani sitasema hivi kamwe, lakini hapa umesema kweliSasa huu tukiuliza ni uchizi au ni ulevi, tutakuwa tumefanya makosa?
Naomba usipige beer kabla ya kuanzisha thread mpya.
Hicho kichwa cha habari kinahusiana nini na hiyo stori ya wangweno?
sio kama nimelewa najitahidi kuedit heading inarudi hiyo hiyo,msaada