beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mbunge Agnesta Kaiza ametaja ubambikizaji wa kesi nyingi za jinai kuwa sababu mojawapo ya mrundikano katika magereza. Amesema hayo leo Bungeni Dodoma.
Amefafanua, "Kila leo unasikia fulani ana kesi ya Uhujumu Uchumi. Mke na Mume wakipigana nyumbani wakifikishwa Mahakamani unaambiwa umehujumu Uchumi".
Aidha, Mbunge huyo amesema uwepo masharti magumu ya upatikanaji wa dhamana pia inapelekea mrundikano katika magereza na mahabusu.
Ameshauri kupitishwa Sheria ya uwepo wa ukomo wa upelelezi kwa kesi zinazochukia muda mrefu akisema hilo likifanyika mrundikano usio wa lazima utapunguzwa moja kwa moja.
Amefafanua, "Kila leo unasikia fulani ana kesi ya Uhujumu Uchumi. Mke na Mume wakipigana nyumbani wakifikishwa Mahakamani unaambiwa umehujumu Uchumi".
Aidha, Mbunge huyo amesema uwepo masharti magumu ya upatikanaji wa dhamana pia inapelekea mrundikano katika magereza na mahabusu.
Ameshauri kupitishwa Sheria ya uwepo wa ukomo wa upelelezi kwa kesi zinazochukia muda mrefu akisema hilo likifanyika mrundikano usio wa lazima utapunguzwa moja kwa moja.