Mbunge Aloyce Kamamba: Mwanafunzi Aliyebeba Ujauzito Shuleni Ahudumiwe

Mbunge Aloyce Kamamba: Mwanafunzi Aliyebeba Ujauzito Shuleni Ahudumiwe

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

Mbunge Aloyce Kamamba: Mwanafunzi Aliyebeba Ujauzito Shuleni Ahudumiwe

Mbunge wa Buyungu, Aloyce Kamamba amesema mwanafunzi aliyepata ujauzito akiwa shuleni akirudi masomoni baada ya kujifungua sheria imuangalie upya namna ya kumhudumia kwa kumpatia elimu kwa kuwa anakuwa na changamoto nyingi ikiwemo ya kulea.

Kamamba amesema mwanafunzi huyo anapaswa kupewa uangalizi maalumu ili kumwezesha kufanya vizuri kwenye masomo huku akiendelea kumhudumia mtoto wake.

Kamamba amesema hayo akichangia hotuba ya bajeti ya wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia kwa mwaka 2024/2025.
 

Attachments

  • a1db5992-cfdf-444c-b43c-41dc24d0d28c.jpg
    a1db5992-cfdf-444c-b43c-41dc24d0d28c.jpg
    39.2 KB · Views: 4
Mwanafunzi gani tena huyo, nidokezwe tafadhali maana sina habari yoyote juu ya huyo mwanafunzi anayezungumziwa 🤒😎
 
Back
Top Bottom