Mbunge Amina Mzee Ahimiza Vijana Kujitokeza Kuchangia Damu Kuokoa Maisha Katika Miaka48CCM

Mbunge Amina Mzee Ahimiza Vijana Kujitokeza Kuchangia Damu Kuokoa Maisha Katika Miaka48CCM

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge wa Vijana, Mhe. Amina Ali Mzee amewaomba vijana wa Tanzania kujitokeza kwa wingi tarehe 04/02/2025 katika CCM @48 Marathon & Bash iliyoandaliwa na UVCCM kwa ajili ya kuchangia Damu 🩸 kwa ajili ya kuokoa maisha ya watu ambao wana uhitaji wa kuongezewa damu.

Pia, amewakaribisha katika shughuli nyingine zitakazokuwepo siku hiyo ya sherehe kama kuchoma nyama, vinywaji, kukimbia, kujifunza na kuonyesha vipaji yote haya ni shamrashamra kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM.

 
Mbunge wa Vijana, Mhe. Amina Ali Mzee amewaomba vijana wa Tanzania kujitokeza kwa wingi tarehe 04/02/2025 katika CCM @48 Marathon & Bash iliyoandaliwa na UVCCM kwa ajili ya kuchangia Damu 🩸 kwa ajili ya kuokoa maisha ya watu ambao wana uhitaji wa kuongezewa damu.

Pia, amewakaribisha katika shughuli nyingine zitakazokuwepo siku hiyo ya sherehe kama kuchoma nyama, vinywaji, kukimbia, kujifunza na kuonyesha vipaji yote haya ni shamrashamra kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM.

Hakuna haja ya kuichangia CCM damu wacha ikate moto.
 
Nifanya hivi lakini sio kwa tamasha la CCM. Bora niende hospital nichangie huko
 
Back
Top Bottom