Mbunge apendekeza Sheria ya kuvunja Ndoa kwa Wanandoa wasiokutana kimwili ndani ya miezi Sita

Mbunge apendekeza Sheria ya kuvunja Ndoa kwa Wanandoa wasiokutana kimwili ndani ya miezi Sita

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Uganda, Sarah Opendi, amependekeza kutungwa sheria inayowaruhusu wanandoa wapya, ambao hawajafanya mapenzi ndani ya miezi sita, kuvunja ndoa zao.

Aidha, Opendi alipendekeza kwamba watu wanaoomba kurejeshewa zawadi za ndoa wanapaswa kufungwa jela au kutozwa faini.
1728368699873.png
 
Back
Top Bottom