The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mbunge wa Arumeru Magharibi Noah Lembris amezomewa msibani na wananchi sababu ubovu wa barabara za jimboni kwake kisema si mbunge amesababisha barabara hizo kuwa mbovu. Hata hivyo mbunge huyo ameendelea kwa kusema kumzomea kiongozi aliyesimama kuongea ni kujitafutia laana.
Kupata mijadala ya uchaguzi mikoa yote Bara na Zanzibar ingia hapa: Kuelekea 2025 - Arusha: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kupata mijadala ya uchaguzi mikoa yote Bara na Zanzibar ingia hapa: Kuelekea 2025 - Arusha: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025