engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Haya ndiyo maisha ya mbunge Mwahima,hana makuu mzee wa watu,anafuata falsafa ya Mwl Nyerere,maisha yake ni ya kustaajabisha ingawaje ni mbunge ,Wakenya wenyewe wanampenda kutokana na jinsi anavyo ishi
Na Wengi wanamfahamu kama mbunge aliyefanya mtihani wa kidato cha nne akiwa uongozini na uvumi ukaenea kwamba alianguka hata somo la Kiswahili na kupata E,lakini mwenyewe aeleza ilikuwa ni mambo ya vyombo vya Habari
mbunge wa likoni mwalimu masoud mwahima anasisitiza kwamba hataki ukubwa zaidi ya kuwa mbunge ifikapo 2012.
Je wabunge wetu wa Tanzania wataweza kuishi maisha Haya?
<span style="font-family:arial black;"><font size="2"><strong><span class="Apple-style-span" style="font-size: 13px; line-height: 18px; ">
Na Wengi wanamfahamu kama mbunge aliyefanya mtihani wa kidato cha nne akiwa uongozini na uvumi ukaenea kwamba alianguka hata somo la Kiswahili na kupata E,lakini mwenyewe aeleza ilikuwa ni mambo ya vyombo vya Habari
mbunge wa likoni mwalimu masoud mwahima anasisitiza kwamba hataki ukubwa zaidi ya kuwa mbunge ifikapo 2012.
Je wabunge wetu wa Tanzania wataweza kuishi maisha Haya?
<span style="font-family:arial black;"><font size="2"><strong><span class="Apple-style-span" style="font-size: 13px; line-height: 18px; ">
Last edited by a moderator: