Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Leo Mbunge Mwantumu wakati akitoa hoja yake Bungeni ameiomba serikali kusitisha kuhamasisha matumizi ya Pombe na tumbaku ( sigara).
Hoja yake ikajibiwa na Naibu Waziri wa Afya - Dkt.Godwin Mollel kwa kusema kweli mchakato umeanza lakini utaona kwenye sigara na kwenye mambo mengine kweli imehamasisha kwamba ina madhara ya afya sasa suala la kusitisha isitumike kabisa mimi ninachofikiri sio kusitisha kabisa ila ni kila mtu kutambua kwamba ukifanya jambo hili unapata madhara haya.
Vipi hapo wanajukwaa pombe na sigara zisiwepo au mbunge tumpotezee tu?
Hoja yake ikajibiwa na Naibu Waziri wa Afya - Dkt.Godwin Mollel kwa kusema kweli mchakato umeanza lakini utaona kwenye sigara na kwenye mambo mengine kweli imehamasisha kwamba ina madhara ya afya sasa suala la kusitisha isitumike kabisa mimi ninachofikiri sio kusitisha kabisa ila ni kila mtu kutambua kwamba ukifanya jambo hili unapata madhara haya.
Vipi hapo wanajukwaa pombe na sigara zisiwepo au mbunge tumpotezee tu?