Mbunge atamka Waadilifu lakini JK Rais wetu hayumo


Huwezi kusema Pinda ni msafi wakati hana miezi mitatu ofisini.tathmini Mwisho wa mchezo, Mkapa alikuwa waziri kwa muda mrefu kama Muadilifu hadi kuaminiwa na Mwalimu na alipofika anapopataka kaonesha yeye ni nani.ni mapema mno kumsifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…