Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mkweli, Mwadilifu na MuwaziWakuu
Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Selemani Bungara maarufu kama Bwege adai busara za Freeman Mbowe hazina maana yoyote katika nchi hii, kumlinda mtu mwizi ndio busara hiyo?
"Yeye ni mtu wa busara, nchi hii ya busara, nchi hii busara itatufikisha? Busara yenyewe ipi? Kufichana, kulindana, kumlinda mtu mwizi ndio busara? Sio busara na wewe mwizi…."
View attachment 3209272
Ndugu yangu
Maoni ya Mh. Bwege ni mazuri mno na nayaunga. Kwamba Mbowe anatumia busara na busara Haina maana Tanzania.Wakuu
Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Selemani Bungara maarufu kama Bwege adai busara za Freeman Mbowe hazina maana yoyote katika nchi hii, kumlinda mtu mwizi ndio busara hiyo?
"Yeye ni mtu wa busara, nchi hii ya busara, nchi hii busara itatufikisha? Busara yenyewe ipi? Kufichana, kulindana, kumlinda mtu mwizi ndio busara? Sio busara na wewe mwizi…."
View attachment 3209272
Ccm ukiwapa busara wanakupiga madoleMaoni ya Mh. Bwege ni mazuri mno na nayaunga. Kwamba Mbowe anatumia busara na busara Haina maana Tanzania.
Maana yake ni kwamba yeye Bwege akiwa Mbunge na hata leo HAJAWAHI kuwa na busara kwa maana busara Tanzania haitakiwi! Ahahahahaha!!!
Siwezi kushangaza kwanini uliitwa BWEGE!!!!!!
Tafsiri yako, pengine hujamuelewaMaoni ya Mh. Bwege ni mazuri mno na nayaunga. Kwamba Mbowe anatumia busara na busara Haina maana Tanzania.
Maana yake ni kwamba yeye Bwege akiwa Mbunge na hata leo HAJAWAHI kuwa na busara kwa maana busara Tanzania haitakiwi! Ahahahahaha!!!
Siwezi kushangaza kwanini uliitwa BWEGE!!!!!!
Ushapigwa mangapi na CCM? Ahahahahaha!!Ccm ukiwapa busara wanakupiga madole
Wewe umemuelewa? Nifafanulie kama umemuelewa.Tafsiri yako, pengine hujamuelewa