02 December 2022
Sumbawanga, Rukwa
Mbunge pekee wa CHADEMA Mh Aida Khenan aelezea mbinu alizotumia mpaka kushinda ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020
Hali ilikuwa mbaya baada ya CCM kubaini mbunge wa CHADEMA ameshinda, wengi waliswekwa mahabusu lakini wananchi wa Sumbawanga walisimama kidete hadi ushindi wa mbunge wa CHADEMA ukatangazwa 2020
Alishuhudia jinsi mkurugenzi anayesimamia uchaguzi akihangaika kubadili matokeo ya ubunge 2020 pia makaratasi ya kura za uchaguzi 2015 yalijaribu kutumika kuongeza kura zilizopigwa 2020 ....
Source : NYASA YETU
Sumbawanga, Rukwa
Mbunge pekee wa CHADEMA Mh Aida Khenan aelezea mbinu alizotumia mpaka kushinda ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020
Hali ilikuwa mbaya baada ya CCM kubaini mbunge wa CHADEMA ameshinda, wengi waliswekwa mahabusu lakini wananchi wa Sumbawanga walisimama kidete hadi ushindi wa mbunge wa CHADEMA ukatangazwa 2020
Alishuhudia jinsi mkurugenzi anayesimamia uchaguzi akihangaika kubadili matokeo ya ubunge 2020 pia makaratasi ya kura za uchaguzi 2015 yalijaribu kutumika kuongeza kura zilizopigwa 2020 ....
Source : NYASA YETU