Mbunge Cherehani Achangia Madirisha 15 Ujenzi Nyumba ya Katibu UWT Wilaya ya Kahama

Mbunge Cherehani Achangia Madirisha 15 Ujenzi Nyumba ya Katibu UWT Wilaya ya Kahama

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE CHEREHANI AKABIDHI MADIRISHA 15 (MILIONI 4) KUKAMILISHA NYUMBA YA KATIBU WA UWT WILAYA YA KAHAMA

Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe.Dkt Emmanuel Cherehani amekabidhi Madirisha 15 yenye thamani ya TZS. Milioni 4,162,000/- kukamilisha nyumba ya Katibu wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Wilaya Kahama mkoani Shinyanga.

Cherehani amekabidhi Madirisha hayo kwa Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Kahama Theresphora Salia (kushoto) na Katibu Happyness Mpena(Kulia) leo Agosti 12, 2023 katika Mtaa wa Shunu kata ya Nyahanga.

Huu ndio muonekano mpya Shule ya Msingi Butibu iliyopo Kata ya Kinamapula Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga ambayo iliezuliwa kwa upepo na kupelekea kuwepo uhaba wa vyumba vya madarasa kwenye Shule hiyo na Wanafunzi kulazimika kusomea chini ya mti.

Kufuatia Changamoto hiyo kupitia jitihada za Mbuge wa Ushetu Dkt. Emmanuel Cherehani, Serikali ilitenga kiasi cha Shilingi 145 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 5 na pesa iliyobaki ikakamilisha ujenzi wa vyumba vingine 4 vya madarasa ambavyo vilijengwa kupitia nguvu za Wananchi mpaka hatua ya boma.
 

Attachments

  • F3W2l-SXAAA_QK0.jpg
    F3W2l-SXAAA_QK0.jpg
    71.8 KB · Views: 4
  • F3W2l-WWoAEHvXM.jpg
    F3W2l-WWoAEHvXM.jpg
    54.6 KB · Views: 4
  • F3W2l-SWwAABVrW.jpg
    F3W2l-SWwAABVrW.jpg
    57.8 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2023-08-13 at 14.01.17.jpeg
    WhatsApp Image 2023-08-13 at 14.01.17.jpeg
    55.3 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2023-08-13 at 14.01.19(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-08-13 at 14.01.19(1).jpeg
    24.7 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2023-08-13 at 14.01.17(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-08-13 at 14.01.17(1).jpeg
    26.1 KB · Views: 5
Back
Top Bottom