LGE2024 Mbunge Cherehani atinga Mashambani kutoa hamasa Uchaguzi Serikali za Mitaa

LGE2024 Mbunge Cherehani atinga Mashambani kutoa hamasa Uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Cherehani Emmanuel ameendelea na ziara ya kuwafikia Wananchi katika maeneo yao kutoa hamasa kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Vijiji na Vitongoji Jimboni kwake ambapo leo mbali na kuwanadi wagombea ameshiriki pia shughuli za kilimo na Wananchi wa Kijijii cha Ihapula Kata ya Idahina.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji unatarajiwa kufanyika Jumatano Novemba 27, 2024.
 
Back
Top Bottom