Magazetini
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 593
- 1,712
Condester Sichalwe(Momba): Ni nini watu wa TBS wanaweza wakatusaidia kutoa makali ambayo yapo kwenye gongo yafanane konyagi, yafanane na pombe nyingine ambazo mnaziona za kifahari ambazo matajiri wanakunywa lakini wote wakinywa wanalewa.
Nataka kuwaambia, pombe hizi za kienyeji ambazo mmezidharau, wapo wafanyabiashara wakubwa na mashughuli, bibi zao, shangazi zao, mama zao wamewasomesha kupitia hizi pombe za kienyeji, wapo wabunge. Prof. Kitila Mkumbo amesema amesomeshwa na bibi yake kupitia pombe za kienyeji.
Nimekuja na sample za pombe za bei rahisi(Anazionesha)
Nataka kuwaambia, pombe hizi za kienyeji ambazo mmezidharau, wapo wafanyabiashara wakubwa na mashughuli, bibi zao, shangazi zao, mama zao wamewasomesha kupitia hizi pombe za kienyeji, wapo wabunge. Prof. Kitila Mkumbo amesema amesomeshwa na bibi yake kupitia pombe za kienyeji.
Nimekuja na sample za pombe za bei rahisi(Anazionesha)