Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
ZIARA YA ya MAKAMU WA RAIS MKOANI KIGOMA - Mkutano wa Hadhara Kata ya Makere, Muhambwe
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mhe. Dkt. Florence Samizi amesema kuwa Jimbo la Muhambwe linaongoza kwa uzalishaji wa Mihogo lakini kwasasa kuna potoki la bei ya Mhogo
Mhe. Dkt. Florence Samizi amesema kuwa anaiomba Serikali kuratibu biashara ya ujirani mwema wa nchi jirani zinazozunguka Kigoma kwa kujenga ushuru wa forodha wa pamoja (One Stop Centre Border Post) ni kiwanda cha kuchakata zao la Mhogo ili kuepuka kuuza Malighafi.
Mhe. Dkt. Florence Samizi ameiomba Serikali kuongezewa bajeti ya TARURA ili kutengeneza Barabara zilizokatika katika Jimbo la Muhambwe ikiwemo Barabara ya Kigaga - Magarama - Kigoma na Barabara ya Kibondo Mjini - Murungu
Mhe. Dkt. Florence Samizi ameongeza kuwa kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza adha ya watu ambao ni Wanafunzi, Wajawazito na Wakulima kwenye changamoto ya usafiri.
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mhe. Dkt. Florence Samizi amesema kuwa Jimbo la Muhambwe linaongoza kwa uzalishaji wa Mihogo lakini kwasasa kuna potoki la bei ya Mhogo
Mhe. Dkt. Florence Samizi amesema kuwa anaiomba Serikali kuratibu biashara ya ujirani mwema wa nchi jirani zinazozunguka Kigoma kwa kujenga ushuru wa forodha wa pamoja (One Stop Centre Border Post) ni kiwanda cha kuchakata zao la Mhogo ili kuepuka kuuza Malighafi.
Mhe. Dkt. Florence Samizi ameiomba Serikali kuongezewa bajeti ya TARURA ili kutengeneza Barabara zilizokatika katika Jimbo la Muhambwe ikiwemo Barabara ya Kigaga - Magarama - Kigoma na Barabara ya Kibondo Mjini - Murungu
Mhe. Dkt. Florence Samizi ameongeza kuwa kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza adha ya watu ambao ni Wanafunzi, Wajawazito na Wakulima kwenye changamoto ya usafiri.