Naendelea kuwaletea vibweka vya viongozi wetu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Yaani ni mwendo wa maigizo tu utafikiri sasa hivi serikali ipo kwenye igizo la Mbio za Ubunge 2025 Azam Tv
Kwahiyo lengo la picha hii nini? Kutuonesha umefika kukagua au una utaalamu mwingine huko tukupe maana umeshindwa kutuwakilisha wananchi bungeni?
Naendelea kuwaletea vibweka vya viongozi wetu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Yaani ni mwendo wa maigizo tu utafikiri sasa hivi serikali ipo kwenye igizo la Mbio za Ubunge 2025 Azam Tv
Kwahiyo lengo la picha hii nini? Kutuonesha umefika kukagua au una utaalamu mwingine huko tukupe maana umeshindwa kutuwakilisha wananchi bungeni?