Mzee wa Code
Member
- Sep 23, 2024
- 61
- 91
Mbunge wa Mkalama Francis Isack Mtinga ameuliza Swali bungeni Leo Novembar 4, kwa Naibu Waziri wa Tamisemi Zainabu katimba Kuwa ni lini Serikali itajenga Shule ya Sekondari na Kituo cha Afya Katika Kata ya Mwangeza Katika Jimbo la Mkalama Mkoa wa Singida.
Mbunge Huyu anaeleza kuwa wananchi wa kata hiyo wanalazimika kutembea umbali wa kilometa 70 kufata huduma za afya, akijibu swali ilo naibu waziri tamisemi ameeleza kuwa serikali ipo katika mchakato wa kuanza ujenzi wa kituo cha afya na shule ya sekondari.
Kata ya Mwangeza inakabiliwa na Tatizo la Huduma za Kukosa Kituo cha Afya hali inayosababisha wazazi kujifungulia njiani na Wanafunzi wa kike kupata mimba za utotoni kutokana na ukosefu wa Shule ya Sekondari.
Wananchi wa kata hiyo iliyopo Katika Jimbo la Mkalama wanapitia changamoto hizo uku Serikali ikabanaisha kukamilisha ujenzi wa vituo vya afya ngazi ya kata na Shule za sekondari.
Mbunge Huyu anaeleza kuwa wananchi wa kata hiyo wanalazimika kutembea umbali wa kilometa 70 kufata huduma za afya, akijibu swali ilo naibu waziri tamisemi ameeleza kuwa serikali ipo katika mchakato wa kuanza ujenzi wa kituo cha afya na shule ya sekondari.
Kata ya Mwangeza inakabiliwa na Tatizo la Huduma za Kukosa Kituo cha Afya hali inayosababisha wazazi kujifungulia njiani na Wanafunzi wa kike kupata mimba za utotoni kutokana na ukosefu wa Shule ya Sekondari.
Wananchi wa kata hiyo iliyopo Katika Jimbo la Mkalama wanapitia changamoto hizo uku Serikali ikabanaisha kukamilisha ujenzi wa vituo vya afya ngazi ya kata na Shule za sekondari.