Mbunge gani katika bunge letu la sasa tunaweza kumpa shida/tatizo au siri na akatusaidia kwa hoja, kama ilivyokuwa awali?

Mbunge gani katika bunge letu la sasa tunaweza kumpa shida/tatizo au siri na akatusaidia kwa hoja, kama ilivyokuwa awali?

NEUROANATOMIST

Senior Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
134
Reaction score
239
Heshima kwema JF

Moja kwa moja kwenye hoja, zamani wananchi walikuwa wanaibua uozo uliko ndani ya wizara, mkoa, wilaya, Idara au hata mashirika ya umma kwa kutoa siri ya kinachoendelea kwa wabunge wa upinzani iliwanjenge hoja na kulisidia taifa kutokana hali hiyo. Rejea Richmond, chuo cha KIU, Dowans, etc ambapo Wabunge makini waupinzani Enzi hizo ZITTO KABWE, DAVID KAFULILA, JOHN MNYINKA, EZEKIEL WENJE walikuwa wanapewa siri na kuzipenyeza bungeni na mara mambo yana tatuliwa.

Mimi na wenzangu tunajambo zito katika wizara moja ya muhimu sana hapa nchini, kiuzalendo tulifuata taratibu zote kwa kutaarifu kutoka ngazi za chini husika mpaka waziri mwenye dhamana tulimwandikia barua lakini ni takribani mwaka mzima haja jibu malalamiko yetu. Tukimpigia simu hapokei tukituma sms hajibu, tukiandika barua pia hajibu tuliamua kumfuata ofisini bado hatukufanikiwa kuongea naye.

Tuliwakumbuka wabunge wa upinzani, tulitamani jambo hili lingetokea Enzi za akina LISSU, JOHN HECHE. Tunateseka tunatamani jambo letu lifike Bungeni lakini Wabunge wa CCM wanalindani lazima majibu ya hasi yatapatikana kinyume na matarajio. Tunatamani kwenda mahakamani lakini hatuna hela ya kutosha kuendesha kesi na kuwalipa mawakili. Ni watanzania tunaoishi kama wakimbizi katika nchi yetu.

Kwenu JF naomba mtusaidie MBUNGE gani tunaweza kumuona nakatufikishia hoja yetu BUNGENI?
 
Heshima kwema JF

Moja kwa moja kwenye hoja, zamani wananchi walikuwa wanaibua uozo uliko ndani ya wizara, mkoa, wilaya, Idara au hata mashirika ya umma kwa kutoa siri ya kinachoendelea kwa wabunge wa upinzani iliwanjenge hoja na kulisidia taifa kutokana hali hiyo. Rejea Richmond, chuo cha KIU, Dowans, etc ambapo Wabunge makini waupinzani Enzi hizo ZITTO KABWE, DAVID KAFULILA, JOHN MNYINKA, EZEKIEL WENJE walikuwa wanapewa siri na kuzipenyeza bungeni na mara mambo yana tatuliwa.

Mimi na wenzangu tunajambo zito katika wizara moja ya muhimu sana hapa nchini, kiuzalendo tulifuata taratibu zote kwa kutaarifu kutoka ngazi za chini husika mpaka waziri mwenye dhamana tulimwandikia barua lakini ni takribani mwaka mzima haja jibu malalamiko yetu. Tukimpigia simu hapokei tukituma sms hajibu, tukiandika barua pia hajibu tuliamua kumfuata ofisini bado hatukufanikiwa kuongea naye.

Tuliwakumbuka wabunge wa upinzani, tulitamani jambo hili lingetokea Enzi za akina LISSU, JOHN HECHE. Tunateseka tunatamani jambo letu lifike Bungeni lakini Wabunge wa CCM wanalindani lazima majibu ya hasi yatapatikana kinyume na matarajio. Tunatamani kwenda mahakamani lakini hatuna hela ya kutosha kuendesha kesi na kuwalipa mawakili. Ni watanzania tunaoishi kama wakimbizi katika nchi yetu.

Kwenu JF naomba mtusaidie MBUNGE gani tunaweza kumuona nakatufikishia hoja yetu BUNGENI?
Ndugu yangu Kwa nature ya lile bunge huwezi ukasaidiwa. Kama Hilo jambo lako ni sensitive sana aisee uwe nalo makini lisije likakigharimu.

Haya yote alaumiwe Maguuu na huko Aliko apinduke miguu juu tena. Yule Mzee ndiye aliyetuletea haya yote.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mfululizo wa matukio katika taifa letu, sidhani kama utampata wa kukusemea. Hadi sasa watu wengi wakiwemo viongozi na wawakiishi hawajawa sawa kisaikolojia na kifikra na huo ndio ukweli.

Vifo vya viongozi wakubwa, magonjwa ya mlipuko kama covid, kuvaa au kutovaa barakoa, kuchanja au kutochanja, watoke wale wabunge walioteuliwa au wabaki, mabadiliko ya uongozi, ugumu wa maisha, kupanda kwa gharama za bidhaa nk


Kwa kifupi taifa lilihitaji kwanza ushauri na unasihi namna ya kukabiliana na haya mabadiliko ya ghafla. Na ndipo akili za viongozi na wawakilishi zitakaa sawa. Wengi wao hawajui nini wafanye nini wasifanye. Ndio maana matatizo yanashindwa kutatuliwa kwa wakati!

Na mbaya zaidi wa sasa haitaji mabango, huenda ningekushauri ubebe bango!
 
Mliwahi kumpa zitto? Zitto? Kweli akili ni si kila mtu anazo
 
Ndugu yangu Kwa nature ya lile bunge huwezi ukasaidiwa. Kama Hilo jambo lako ni sensitive sana aisee uwe nalo makini lisije likakigharimu.

Haya yote alaumiwe Maguuu na huko Aliko apinduke miguu juu tena. Yule Mzee ndiye aliyetuletea haya yote.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Magu kawagharimu nn? Alafu kaburini kila mtu ataenda
 
Hawa hawa wasiojua kwamba bunge ni mhimili badala yake wanaomshukuru raisi kwa kuwapa sijui nini badala ya kufanya kazi ya kuikosoa na kuishauri serikali?
 
Apinduliwe miguu chini ale kichapo
Ndugu yangu Kwa nature ya lile bunge huwezi ukasaidiwa. Kama Hilo jambo lako ni sensitive sana aisee uwe nalo makini lisije likakigharimu.

Haya yote alaumiwe Maguuu na huko Aliko apinduke miguu juu tena. Yule Mzee ndiye aliyetuletea haya yote.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Heshima kwema JF

Moja kwa moja kwenye hoja, zamani wananchi walikuwa wanaibua uozo uliko ndani ya wizara, mkoa, wilaya, Idara au hata mashirika ya umma kwa kutoa siri ya kinachoendelea kwa wabunge wa upinzani iliwanjenge hoja na kulisidia taifa kutokana hali hiyo. Rejea Richmond, chuo cha KIU, Dowans, etc ambapo Wabunge makini waupinzani Enzi hizo ZITTO KABWE, DAVID KAFULILA, JOHN MNYINKA, EZEKIEL WENJE walikuwa wanapewa siri na kuzipenyeza bungeni na mara mambo yana tatuliwa.

Mimi na wenzangu tunajambo zito katika wizara moja ya muhimu sana hapa nchini, kiuzalendo tulifuata taratibu zote kwa kutaarifu kutoka ngazi za chini husika mpaka waziri mwenye dhamana tulimwandikia barua lakini ni takribani mwaka mzima haja jibu malalamiko yetu. Tukimpigia simu hapokei tukituma sms hajibu, tukiandika barua pia hajibu tuliamua kumfuata ofisini bado hatukufanikiwa kuongea naye.

Tuliwakumbuka wabunge wa upinzani, tulitamani jambo hili lingetokea Enzi za akina LISSU, JOHN HECHE. Tunateseka tunatamani jambo letu lifike Bungeni lakini Wabunge wa CCM wanalindani lazima majibu ya hasi yatapatikana kinyume na matarajio. Tunatamani kwenda mahakamani lakini hatuna hela ya kutosha kuendesha kesi na kuwalipa mawakili. Ni watanzania tunaoishi kama wakimbizi katika nchi yetu.

Kwenu JF naomba mtusaidie MBUNGE gani tunaweza kumuona nakatufikishia hoja yetu BUNGENI?
Babu Tale kama suala linahusu uchumi na Mambo ya mahesabu yuko vizuri.
 
Spika atamtungua kabla hata hajamaliza kutoa shukrani za kupewa nafasi ya kuongea.
Ref. Mb. Tabasamu.
 
Back
Top Bottom