Pre GE2025 Mbunge Geita mjini: Anayetumia gharama kubwa kutafuta uongozi ni mwizi

Pre GE2025 Mbunge Geita mjini: Anayetumia gharama kubwa kutafuta uongozi ni mwizi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mbunge wa jimbo la Geita mjini Constantine Kanyasu amesema mtu anayetumia pesa nyingi kutafuta uongozi maana yake anatarajia kuiba baada ya kupata uongozi huo.

Hayo ameyazungumza Machi 8, 2025 akiwa kwenye kikao cha ndani Cha Halmashauri kuu ya CCM tawi la katoma kata ya Kalangalala mjini Geita.

Kanyasu amesema " Ukiona mtu anatumia gharama kubwa sana kutafuta uongozi, anachokitafuta cha kwanza ni kwenda kuiba, Mapato ya miaka mitano Bungeni hayafiki milioni 600, lakini mtu anatumia bilioni 3 kutafuta cheo hicho - hiyo ni biashara gani?" alihoji.

 
Hivi si huyu aliyegawia watu smartphones?

I mean, si yeye aliyewahonga wajumbe smartphones?
 
Mbunge wa jimbo la Geita mjini Constantine Kanyasu amesema mtu anayetumia pesa nyingi kutafuta uongozi maana yake anatarajia kuiba baada ya kupata uongozi huo.

Hayo ameyazungumza Machi 8, 2025 akiwa kwenye kikao cha ndani Cha Halmashauri kuu ya CCM tawi la katoma kata ya Kalangalala mjini Geita.

Kanyasu amesema " Ukiona mtu anatumia gharama kubwa sana kutafuta uongozi, anachokitafuta cha kwanza ni kwenda kuiba, Mapato ya miaka mitano Bungeni hayafiki milioni 600, lakini mtu anatumia bilioni 3 kutafuta cheo hicho - hiyo ni biashara gani?" alihoji.

View attachment 3264251
Hapo si anamsema mwenyekiti wake wa CCM? Ila ni ukweli kabisa.
 
Kanyasu
WAJA
Manjale
Vumbi litatimka Geita mwaka huu
 
Back
Top Bottom