Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Hahahhaaha kwakweliWanyambo tembeeni vifua mbele
Ndio hapo sasaSasa huo ubunge wa Africa mashariki unahusika nini na kosa?!
Au wabunge wana wivu na mwenzako?! Kweli roho za korosho kila sehemu
Ambae hajaelewa na hawezi elewa ni ndugai tu mkuuππππHujamwelewa msome tena
Hana mpinzaniJob Ndungai anaacha legacy yake pekeake.
Wamemjadili mtumishi wa Mungu ambaye alikuwa anaongea na waumini wake kanisani mambo ya kiroho (maono) ambayo huwezi kudai ushahidi. Angeongea bungeni au mahali pengine popote na si kanisani, ingekuwa sahihi kumhoji. Tazama sasa sifa zilivyoletwa za kuifahamu dini mpaka hansard imerecord kuwa Yesu alikuwa na mke.Aliye mtaka Mh Jerry Silaa aombe radhi kwa kutumia vyombo vya habari kajikuta anaomba radhi yeye bila kutegemea. Acha Mungu aitwe Mungu.
Ndio supika ya tanzanzania yetu hakuna namnaBadala ya kupangua hoja za Jerry kwa kutumia hoja Ndugai anatumia nguvu ya kiti cha uspika.
π π π π πWamemjadili mtumishi wa Mungu ambaye alikuwa anaongea na waumini wake kanisani mambo ya kiroho (maono) ambayo huwezi kudai ushahidi. Angeongea bungeni au mahali pengine popote na si kanisani, ingekuwa sahihi kumhoji. Tazama sasa sifa zilivyoletwa za kuifahamu dini mpaka hansard imerecord kuwa Yesu alikuwa na mke.
Huyu ndio Mungu asiependa Kona SasaπππππAliye mtaka Mh Jerry Silaa aombe radhi kwa kutumia vyombo vya habari kajikuta anaomba radhi yeye bila kutegemea. Acha Mungu aitwe Mungu.
TumepigwaAliye mtaka Mh Jerry Silaa aombe radhi kwa kutumia vyombo vya habari kajikuta anaomba radhi yeye bila kutegemea. Acha Mungu aitwe Mungu.
Ya vyeti vya MirembeJob Ndungai anaacha legacy yake pekeake.
Hatari sanaYa vyeti vya Mirembe