Mbunge Jesca Msavatavangu ang'aka Bungeni wanandoa kunyimana tendo la ndoa

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
My Take,
Jamani wanandoa si vizuri kunyima utamu wa tendo la ndoa πŸ™„πŸ™‚

=======​

Your browser is not able to display this video.
Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msavatavangu amelitaka Bunge kuanzisha sheria ya kuwashughulikia watu waliozaa na kuwatelekeza watoto bila kuwapa msaada wa kiuangalizi.

Msavatavangu ameyasema hayo leo Agosti 30, 2024 wakati akichangia Muswada wa Sheria ya marekebisho ya sheria zinazohusu ulinzi wa watoto wa mwaka 2024.

Vilevile amewataka wanandoa kutonyimana tendo la ndoa akisema familia nyingi zimekuwa chanzo cha vitendo viovu vinavyochangiwa na kunyimana unyumba na kuingizana majaribuni.

Soma Pia: Mahakama ya Wilaya ya Temeke yavunja ndoa baada ya Bwana harusi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa miaka 5. Bibi harusi kapotezewa fertility age
 
Huyu mama hana stori nyingine zaidi ya hizi za ufuska. Na bunge letu ndo maendeleo hayo.
 
Wabunge CCM ndio uwezo wao wakufikiria umeishia hapo .
 
Na Wabunge wakagonga mezaa kushangilia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…