Mbunge Kainja Awawezesha Wanawake Kiuchumi Kata 35 za Wilaya ya Igunga

Mbunge Kainja Awawezesha Wanawake Kiuchumi Kata 35 za Wilaya ya Igunga

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE JACQUELINE KAINJA AWAWEZESHA KIUCHUMI WANAWAKE WA KATA 35 ZA WILAYA YA IGUNGA

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Tabora Mhe. Jacqueline Kainja Andrew ameendelea na ziara yake katika Kata 35 za Wilaya ya Igunga akiwa na lengo la kuwapa mitaji wanawake ili kuwainua kiuchumi katika miradi yao ya ujasiriamali.

Itakumbukwa kuwa, Mhe. Kainja ametoa fedha kiasi cha Shilingi Millioni 81 kwa Kata 206 za Mkoa wa Tabora yenye lengo la kuwawezesha wanawake wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kiuchumi.

Katika mradi uliogharimu Shilingi 81,000,000 Mbunge Kainja ameendelea kupeleka pesa hizo katika Kata 35 za Wilaya ya Igunga ili weweze kufanya miradi kwenye Kata zao kama Ufugaji wa Mbuzi, Mazao, Ununuzi wa Mashamba na Ufugaji wa Kuku.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(11).jpeg
    WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(11).jpeg
    89.8 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(10).jpeg
    WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(10).jpeg
    79.4 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(9).jpeg
    WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(9).jpeg
    107.6 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(8).jpeg
    WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(8).jpeg
    84.3 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(2).jpeg
    WhatsApp Image 2023-07-08 at 21.08.43(2).jpeg
    82.9 KB · Views: 3
Back
Top Bottom