Mbunge Kainja na Miradi Katika Kata 206 Mkoa wa Tabora

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE KAINJA NA MIRADI KATIKA KATA 206 MKOA WA TABORA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora Mhe. Jacqueline Kainja Andrew anatarajia kuanza ziara rasmi kutembelea Kata 206 na kuzindua MIRADI mbalimbali tarehe 07 Julai, 2023 ambapo mgeni rasmi atakuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Batilda Buriani

Aidha, Mhe. Jacqueline Kainja amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mwaka 2022-2023 kupeleka
✅ Shilingi Bilioni 6.8 Miradi ya Afya
✅ Shilingi Bilioni 27 Miradi ya Elimu
✅ Shilingi Bilioni 30 Miradi ya Maji
✅ Mradi wa SGR

"SISI WANAWAKE WA MKOA WA TABORA TUNAKUPONGEZA NA TUKO PAMOJA NA WEWE MAMA"
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-07-06 at 12.54.29.jpeg
    98.3 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2023-07-06 at 13.05.48.jpeg
    50.7 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…