Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mbunge wa Sumve, Emmanuel Kasalali amesema mamlaka maalumu inapaswa kuwepo ili kusimamia masuala ya Mazingira kwani haijachukuliwa kwa mkazo wake
Amesema siku za hivi karibuni Nemc imekuwa ikifunguia baadhi ya baa lakini baadhi ya wakuu wa wilaya wanasimamia kuzifungua
Pamoja na hilo amesema suala la mazingira libebwe kwa mkazo wake kwani magari ya taka na yenyewe yamekuwa ni takataka.
Amesema siku za hivi karibuni Nemc imekuwa ikifunguia baadhi ya baa lakini baadhi ya wakuu wa wilaya wanasimamia kuzifungua
Pamoja na hilo amesema suala la mazingira libebwe kwa mkazo wake kwani magari ya taka na yenyewe yamekuwa ni takataka.