Pre GE2025 Mbunge Kassu: Sitovumilia tuhuma za uongo dhidi yangu kuhusu matumizi ya mfuko wa jimbo

Pre GE2025 Mbunge Kassu: Sitovumilia tuhuma za uongo dhidi yangu kuhusu matumizi ya mfuko wa jimbo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mbunge wa Jimbo la Nyang’hwale, Hussein Nassoro Kassu, ameonya baadhi ya watu wanaoeneza madai ya uongo kuhusu matumizi ya mfuko wa jimbo, akisisitiza kuwa iwapo yeyote atabainika kusambaza taarifa zisizo za kweli, hatua za kisheria zitachukuliwa.

Akizungumza na wananchi katika hafla ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kassu amesema tuhuma hizo zimekuwa zikijirudia mara kwa mara, licha ya kuwa tayari ametoa onyo kwa wale wanaoeneza uzushi huo.

 
Mbunge wa Jimbo la Nyang’hwale, Hussein Nassoro Kassu, ameonya baadhi ya watu wanaoeneza madai ya uongo kuhusu matumizi ya mfuko wa jimbo, akisisitiza kuwa iwapo yeyote atabainika kusambaza taarifa zisizo za kweli, hatua za kisheria zitachukuliwa.

Akizungumza na wananchi katika hafla ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kassu amesema tuhuma hizo zimekuwa zikijirudia mara kwa mara, licha ya kuwa tayari ametoa onyo kwa wale wanaoeneza uzushi huo.

Aache ubabe. Atoe ushahidi wa anavyotumia au zinavyo tumiwa hizo pesa. Akifanya hivyo wataacha kumshutumu.

Amandla...
 
Number huwa hazidanganyi. Ofisi yake itoe mchanganuo wa matumizi wananchi wataridhika.

Badala ya kutumia huo muda kuvimba, angeutumia kusoma hiyo taarifa ya matumizi ya pesa za mfuko wa jimbo.

Kama hataki lawama AACHIE Ubunge ndiyo njia pekee ya kukwepa lawama hizo.
 
Back
Top Bottom