Pre GE2025 Mbunge Katambi ashiriki na Wananchi ujenzi wa Zahanati Ibanzamata, achangia milioni 10

Pre GE2025 Mbunge Katambi ashiriki na Wananchi ujenzi wa Zahanati Ibanzamata, achangia milioni 10

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi, ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Ajira,Vijana na watu wenye ulemavu,ameshiriki na wananchi ujenzi wa msingi wa Zahanati ya Ibanzamata,pamoja na kuchangia Sh.milioni 10.

Screenshot 2025-03-02 103316.png
Ameshiriki ujenzi wa msingi huo leo akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wa chama,wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Anord Makombe.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amewapongeza wananchi wa Ibinzamata kwa kujitoa katika masuala ya maendeleo,hivyo ameamua kushirikiana nao kwenye ujenzi wa Zahanati hiyo,na kwamba atahakikisha inakamilika na kuanza kutoa huduma.

"Nimefurahishwa na nyie wananchi kwa kujitoa katika masuala ya maendeleo juu ya ujenzi wa Zahanati hii, na mimi nitachangia Sh.milioni 10 na tutashirikiana hadi kufikia hatua ya lenta na baada ya hapo tutatafuta fedha ili kuikamilisha kabisa," amesema Katambi.
 
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi, ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Ajira,Vijana na watu wenye ulemavu,ameshiriki na wananchi ujenzi wa msingi wa Zahanati ya Ibanzamata,pamoja na kuchangia Sh.milioni 10.

Ameshiriki ujenzi wa msingi huo leo akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wa chama,wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Anord Makombe.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amewapongeza wananchi wa Ibinzamata kwa kujitoa katika masuala ya maendeleo,hivyo ameamua kushirikiana nao kwenye ujenzi wa Zahanati hiyo,na kwamba atahakikisha inakamilika na kuanza kutoa huduma.

"Nimefurahishwa na nyie wananchi kwa kujitoa katika masuala ya maendeleo juu ya ujenzi wa Zahanati hii, na mimi nitachangia Sh.milioni 10 na tutashirikiana hadi kufikia hatua ya lenta na baada ya hapo tutatafuta fedha ili kuikamilisha kabisa," amesema Katambi.
Ni kipindi cha kuwadanganya wapiga kura
 
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi, ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Ajira,Vijana na watu wenye ulemavu,ameshiriki na wananchi ujenzi wa msingi wa Zahanati ya Ibanzamata,pamoja na kuchangia Sh.milioni 10.

Ameshiriki ujenzi wa msingi huo leo akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wa chama,wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Anord Makombe.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amewapongeza wananchi wa Ibinzamata kwa kujitoa katika masuala ya maendeleo,hivyo ameamua kushirikiana nao kwenye ujenzi wa Zahanati hiyo,na kwamba atahakikisha inakamilika na kuanza kutoa huduma.

"Nimefurahishwa na nyie wananchi kwa kujitoa katika masuala ya maendeleo juu ya ujenzi wa Zahanati hii, na mimi nitachangia Sh.milioni 10 na tutashirikiana hadi kufikia hatua ya lenta na baada ya hapo tutatafuta fedha ili kuikamilisha kabisa," amesema Katambi.
Watu wa shinnyanga mjini mkimchagua huyo pandikizi msaliti nyie wote mafala
 
Chawa wa mbunge hajui maeneo ya Jimbo la mbunge. Panaitwa Ibinzamata (maana yake vunja mate).
Nilitaka nishangae hii ibanzamata imeanzishwa lini tena.. 🙂 🙂
 
Back
Top Bottom