Kumekucha, jamaa katoka na nje ya bunge kuendeleza mapambano. 😂😂Mbunge Katani amesema kitendo cha Waziri Mwigulu kudharau Phd za heshima amesahau Rais Samia Suluhu Hassana amepewa udaktari wa heshima kwa mageuzi makubwa aliyofanya nchini, Mstaafu Jakaya Kikwete alipewa udaktari wa heshima kwa kazi nzuri aliyofanya.
Iweje Mwigulu yeye adharau Udaktari wa heshima?
Mwigulu mwenyewe PhD yake ya kubebwa sioni anachoweza kuwadharau wenzake wakati naye na yale yale hana stahiki ya kuwa na hiyo PhD. Huyu Madelu naye angefyata tu asije kuumbuliwa.Mbunge Katani amesema kitendo cha Waziri Mwigulu kudharau Phd za heshima amesahau Rais Samia Suluhu Hassana amepewa udaktari wa heshima kwa mageuzi makubwa aliyofanya nchini, Mstaafu Jakaya Kikwete alipewa udaktari wa heshima kwa kazi nzuri aliyofanya.
Iweje Mwigulu yeye adharau Udaktari wa heshima?
Mbunge Katani amesema kitendo cha Waziri Mwigulu kudharau Phd za heshima amesahau Rais Samia Suluhu Hassana amepewa udaktari wa heshima kwa mageuzi makubwa aliyofanya nchini, Mstaafu Jakaya Kikwete alipewa udaktari wa heshima kwa kazi nzuri aliyofanya.
Iweje Mwigulu yeye adharau Udaktari wa heshima?
Yaani iyo PhD ya heshima kwanza Ni kuwa umefanya kitu practical kimeonekana na sio kama hao waliokariri darasani kama kasuku wakapewa na hawajafanya chochote kivitendo kuonekana zaidi ya nadharia.Watu wameamua kumsagia kunguni huyu mshamba mjivuni asiyejitambua
Acha uongoYaani iyo PhD ya heshima kwanza Ni kuwa umefanya kitu practical kimeonekana na sio kama hao waliokariri darasani kama kasuku wakapewa na hawajafanya chochote kivitendo kuonekana zaidi ya nadharia.
Ukisikia mdomo kukiponza kichwa, ndiyo hapo sasa.Mbunge Katani amesema kitendo cha Waziri Mwigulu kudharau Phd za heshima amesahau Rais Samia Suluhu Hassana amepewa udaktari wa heshima kwa mageuzi makubwa aliyofanya nchini, Mstaafu Jakaya Kikwete alipewa udaktari wa heshima kwa kazi nzuri aliyofanya.
Iweje Mwigulu yeye adharau Udaktari wa heshima?