Mbunge Kenneth Nollo: Maslahi ya askari polisi yaboreshwe ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi Mpango wa Taifa 2025/2026

Mbunge Kenneth Nollo: Maslahi ya askari polisi yaboreshwe ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi Mpango wa Taifa 2025/2026

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Serikali imeshauriwa kuboresha mazingira na maslahi ya askari polisi ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi wa polisi katika mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa mwaka 2025/2026.

Hayo yamesemwa leo Jumatano Novemba 6, 2024 na Mbunge wa Bahi (CCM), Kenneth Nollo wakati akichangia katika mpango huo.

Amesema kuwa ili nchi iwe na amani kwa wawekezaji tunatakiwa kuwekeza katika usalama wa nchi, na polisi ndio watu pekee waliobeba jukumu la kulinda usalama wetu.

 
Kabla hatujafa ,hatujaumbika, IPO siku tutapata maumbile mapya na yataleta mabadiliko mapya
 
Kikao cha bunge au cha ccm ?
 
Serikali imeshauriwa kuboresha mazingira na maslahi ya askari polisi ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi wa polisi katika mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa mwaka 2025/2026.

Hayo yamesemwa leo Jumatano Novemba 6, 2024 na Mbunge wa Bahi (CCM), Kenneth Nollo wakati akichangia katika mpango huo.

Amesema kuwa ili nchi iwe na amani kwa wawekezaji tunatakiwa kuwekeza katika usalama wa nchi, na polisi ndio watu pekee waliobeba jukumu la kulinda usalama wetu.


Angeanza na kuwataka kufuata sheria na kufurushwa kwa wote wasiofuata sheria kutafuta uhalali kwanza.
 
Back
Top Bottom