Walikua wanaogopa kuchambwa kwenye madhabauSasa ndio wabunge wanaanza kuibuka...😊😊😊
Pumba kabisa. Mama Samia atakuwa anawazoom tu. Gwajima kasema chanjo ni ya majaribio na hata Magufuli alishaonya, then huyu mbunge msaka tonge anadhani atateuliwa anaongea pumbaKingu kaongea vizuri sana
Walikua wanaogopa kuchambwa kwenye madhabau
Gwajima alizidi wacha wampige nyundoWanafiki tu hao, sasa wameona hukumu ya kamati na wanajua kwa muda Gwajima atalay low...
Gwajima anaropoka bila ushahidi , anadai kuna watu wamepokea pesa kupitisha chanjo , ameombwa ushahidi ameshindwa, wacha panga limpitiePumba kabisa. Mama Samia atakuwa anawazoom tu. Gwajima kasema chanjo ni ya majaribio na hata Magufuli alishaonya, then huyu mbunge msaka tonge anadhani atateuliwa anaongea pumba
Je nini wapenda chanjo mna ushahidi wa utafiti wa madhara ya hiyo chanjo??? Wewe na wenzako kwa sababu mlikuwa na chuki binafsi na Magufuli ndiyo maana kila linaloenda kinyume na Magufuli mnalibeba bila kutumia akili.Gwajima anaropoka bila ushahidi , anadai kuna watu wamepokea pesa kupitisha chanjo , ameombwa ushahidi ameshindwa, wacha panga limpitie
Umeridhika na maneno yake tu , huoni kama alipaswa kwenda mbali zaid ya hayo maneno?Kingu kaongea vizuri sana
Gwajima ni muhaini,serikali inatakiwa imshughulikie ipasavyoMbunge Elibariki Kingu amesema kwa mujibu wa Uchambuzi wake, Askofu Josephat Gwajima alidhamiria kuichonganisha Serikali na Wananchi ili watu wakose imani nayo
"Kitendo cha Gwajima kujitokea hadharani na kuwaambia Watanzania Chanjo mnayokwenda kuchanjwa haijafanyiwa Utafiti, adhabu zisiishie hapo. Hata Halima Mdee hajawahi kutufanyia vitimbi vya namna hii"
Amesema anashangaa kwanini Chama cha Mapinduzi (CCM) haijachukua hatua dhidi ya Askofu Gwajima
Haha mataga pori umelainika mnooo.Pumba kabisa. Mama Samia atakuwa anawazoom tu. Gwajima kasema chanjo ni ya majaribio na hata Magufuli alishaonya, then huyu mbunge msaka tonge anadhani atateuliwa anaongea pumba