Mbunge Kishoa aitaja tena Mkalama Bungeni, ahoji idadi ya watumishi kada ya Afya, Serikali kuipa kipaumbele mwaka huu

Mbunge Kishoa aitaja tena Mkalama Bungeni, ahoji idadi ya watumishi kada ya Afya, Serikali kuipa kipaumbele mwaka huu

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Singida Mhe. Jesca Kishoa leo alhamis Aprili 18, 2024 kwenye Kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni amehoji Serikali kupitia Wizara ya TAMISEMI ,Serikali ina mkakati gani wa kuongeza watumishi kada ya afya kwakuwa idadi iliyopo ni watumishi 287 tu ambapo idadi hii haifiki hata nusu ya uhitaji ambayo ni 695.

Kishoa katika swali lake la pili amehoji juu daktari wa usingizi kituo cha afya Gumanga ambapo vifaa vipo vya upasuaji ila hakuna Anaesthesiologist (Daktari wa usingizi)

Akijibu maswali hayo ya mhe. Mbunge, Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt .Festo John Dugange ameahidi kuipa kipaumbele Almashauri wilaya ya Mkalama wakati wa watapotangaza ajira mpya kwenye kada hiyo.


Pia soma:
Bunge la 12: Mkutano wa 15, Kikao cha 9, leo Aprili 18, 2024
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Singida Mhe. Jesca Kishoa leo alhamis Aprili 18, 2024 kwenye Kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni amehoji Serikali kupitia Wizara ya TAMISEMI...
Mbunge wa viti maalumu chadema!
 
a ex
Wameshaachana kitambo tu


Yaani nilishangaa sana kuachana na Mwanaume kama yule.

David nilikuwa nampenda sana zamani akiwa upinzani akiwasilisha hoja bungeni Yaani bonge na Mwanaume akili kubwa 💪

Napenda Mwanaume mwenye uwezo mkubwa kiakili.
with ability to foresee.

Sema alivyoanza kujichanganya kiitikadi nikaona kama sijamuelewa hivi nikaanza kumkinahi.

Sijawahi muona physically lakini zamani nilikuwa namkubali sana.
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Singida Mhe. Jesca Kishoa leo alhamis Aprili 18, 2024 kwenye Kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni amehoji Serikali kupitia Wizara ya TAMISEMI ,Serikali ina mkakati gani wa kuongeza watumishi kada ya afya kwakuwa idadi iliyopo ni watumishi 287 tu ambapo idadi hii haifiki hata nusu ya uhitaji ambayo ni 695.

Kishoa katika swali lake la pili amehoji juu daktari wa usingizi kituo cha afya Gumanga ambapo vifaa vipo vya upasuaji ila hakuna Anaesthesiologist (Daktari wa usingizi)

Akijibu maswali hayo ya mhe. Mbunge, Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt .Festo John Dugange ameahidi kuipa kipaumbele Almashauri wilaya ya Mkalama wakati wa watapotangaza ajira mpya kwenye kada hiyo.


Pia soma: Bunge la 12: Mkutano wa 15, Kikao cha 9, leo Aprili 18, 2024


Kuna wanawake ukisikia ameachana na mumewe kisha mtu baki wa nje unajiuliza Huyu mwanamke amepatwa na nini kukubali kuachika jamani?
Kwanini wasisameheane maisha yakaendelea?
Au karogwa ?
Unless amekufukuza yeye Mwanaume au maisha yako ulijikuta hatarini ambavyo huwa inatokea mara chache sana.

Ndoa nyingi zikivunjika ni mwanamke ambae hataki kujishusha au hakutumia hekima kurekebisha mambo.
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Singida Mhe. Jesca Kishoa leo alhamis Aprili 18, 2024 kwenye Kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni amehoji Serikali kupitia Wizara ya TAMISEMI ,Serikali ina mkakati gani wa kuongeza watumishi kada ya afya kwakuwa idadi iliyopo ni watumishi 287 tu ambapo idadi hii haifiki hata nusu ya uhitaji ambayo ni 695.

Kishoa katika swali lake la pili amehoji juu daktari wa usingizi kituo cha afya Gumanga ambapo vifaa vipo vya upasuaji ila hakuna Anaesthesiologist (Daktari wa usingizi)

Akijibu maswali hayo ya mhe. Mbunge, Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt .Festo John Dugange ameahidi kuipa kipaumbele Almashauri wilaya ya Mkalama wakati wa watapotangaza ajira mpya kwenye kada hiyo.


Pia soma: Bunge la 12: Mkutano wa 15, Kikao cha 9, leo Aprili 18, 2024


Kuna mtu unampenda kiasi kwamba unasema hata nikimfumania live nitamsamehe.

Isipokuwa sishauri kwenda kufamania mwenzi wako.
Ni immaturity signal.

Hata kama unatafuta sababu za kuachana kwenda kufumania Hapana aisee.
Usizani kuwa utamdhalilisha mwenzio tu lakini Hata wewe pia.
Tafsiri yaweza kuwa humpi mumeo utulivu wakutosha huenda ndio maana anatoka nje!
 
a ex



Yaani nilishangaa sana kuachana na Mwanaume kama yule.

David nilikuwa nampenda sana zamani akiwa upinzani akiwasilisha hoja bungeni Yaani bonge na Mwanaume akili kubwa 💪

Napenda Mwanaume mwenye uwezo mkubwa kiakili.
with ability to foresee.

Sema alivyoanza kujichanganya kiitikadi nikaona kama sijamuelewa hivi nikaanza kumkinahi.

Sijawahi muona physically lakini zamani nilikuwa namkubali sana.
Hii ndoa ilivunjika Kwa nguvu ya Magu, akitaka Kafulila ambadilishe kishoa aunge Mabadiliko Kisha demu akachomoa. Ndio magu akamwambia Kafulila achague mke au cheo, kama ilivyokua Kwa historia ya Hassan adi Leo Hassan yupo hai ndio kilichotokea Kwa Kafulila
 
Hii ndoa ilivunjika Kwa nguvu ya Magu, akitaka Kafulila ambadilishe kishoa aunge Mabadiliko Kisha demu akachomoa. Ndio magu akamwambia Kafulila achague mke au cheo, kama ilivyokua Kwa historia ya Hassan adi Leo Hassan yupo hai ndio kilichotokea Kwa Kafulila

Mwanamke alitakiwa amtii mumewe.
Imeandikwa: “Mwanamke na amtii mumewe kwa kila jambo
Hata ktk muktadha huo Jesca alipaswa kufanya kile mumewe aliona kinafaa.
 
Back
Top Bottom