Mbunge Livingstone Lusinde amtaka Spika Ndugai ajiuzulu, asema hata ombi lake la msamaha lilikuwa la uongo

Mbunge Livingstone Lusinde amtaka Spika Ndugai ajiuzulu, asema hata ombi lake la msamaha lilikuwa la uongo

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
Mbunge wa jimbo la Mtera Livingstone Lusinde amemtaka Spika Job Ndugai ajiuzulu kufuatia kauli aliyoitoa kupinga serikali kuchukua mikopo. Lusinde amesema alianagalia clip yote ya mazungumzo ya Job Ndugai na hakuna sehemu iliyounganishwa ili kumchonganisha na Rais kama yeye (Ndugai) alivyosema, alieleza zaidi kuwa hayo yalikuwa ni maneno yake na hivyo hata katika uombaji wake wa msamaha hakuwa na sababu ya kukanusha alichokisema. Lusinde amemtaka Spika Ndugai kujiuzulu mara moja ili kuwatendea haki wagogo pamoja na wakazi wa mkoa wa Dodoma ambao ni wanufaika mkubwa wa mkopo uliochukuliwa na serikali.

 
Uzuri zana yaani tools ni zile zile, alizokuwa anazitumia kudhulumu haki za wengine mfano akina lissue ndio hizo hizo zinazotumiwa kumnanga... kwa kweli kwa miaka hii michache yaani around 7+ years, we have learnt alot ...
 
Hatari sana, wanavyojua kucheza mchezo mchafu wa kisiasa, Kila mwenye ulimi hujitokeza kujifanya anajua kuongea, huku wakiziteka media na Huku upande wa pili wakilala Usingizi wa Pono, mwishowe huungana na kuwa kitu Kimoja kama vile sio wale mahasimu..
kila pande ya nchi Huu ndy wimbo sasa, Story za Mwamba alieko Jela na wananchi walionewa kipindi cha uchaguz wakiwa jela kwa kesi za kubumba haziongelewi tena.
Ni maajabu sana, wabunge waliochaguliwa na mtu mmoja wanahangaisha vichwa vya watanzania 60m.Huu uhalali ni wa kijuha kabsa. Kwanini kama Spika makosa yake yasiwe kiini cha kutupilia mbali Bunge zima tuanze Upya? Tuchuje makapi yote! Kwanini hili linashindikana? Mkuu wa Nchi anaogopa nini? VUNJA BUNGE TU...TUWAPIME!!
 
Haya manzi ya kijani yauane tu.
Mbunge wa jimbo la Mtera Livingstone Lusinde amemtaka Spika Job Ndugai ajiuzulu kufuatia kauli aliyoitoa kupinga serikali kuchukua mikopo. Lusinde amesema alianagalia clip yote ya mazungumzo ya Job Ndugai na hakuna sehemu iliyounganishwa ili kumchonganisha na Rais kama yeye (Ndugai) alivyosema, alieleza zaidi kuwa hayo yalikuwa ni maneno yake na hivyo hata katika uombaji wake wa msamaha hakuwa na sababu ya kukanusha alichokisema. Lusinde amemtaka Spika Ndugai kujiuzulu mara moja ili kuwatendea haki wagogo pamoja na wakazi wa mkoa wa Dodoma ambao ni wanufaika mkubwa wa mkopo uliochukuliwa na serikali.
View attachment 2070646
 
Job akiyamaliza na Mama utaona wote wanavyogeuka kumpongeza.
Unafiki na CCM ni Kulwa na Dotto
 
Hatari sana, wanavyojua kucheza mchezo mchafu wa kisiasa, Kila mwenye ulimi hujitokeza kujifanya anajua kuongea, huku wakiziteka media na Huku upande wa pili wakilala Usingizi wa Pono, mwishowe huungana na kuwa kitu Kimoja kama vile sio wale mahasimu..
kila pande ya nchi Huu ndy wimbo sasa, Story za Mwamba alieko Jela na wananchi walionewa kipindi cha uchaguz wakiwa jela kwa kesi za kubumba haziongelewi tena.
Ni maajabu sana, wabunge waliochaguliwa na mtu mmoja wanahangaisha vichwa vya watanzania 60m.Huu uhalali ni wa kijuha kabsa. Kwanini kama Spika makosa yake yasiwe kiini cha kutupilia mbali Bunge zima tuanze Upya? Tuchuje makapi yote! Kwanini hili linashindikana? Mkuu wa Nchi anaogopa nini? VUNJA BUNGE TU...TUWAPIME!!
Tulia wewe huyu mbwa asulubiwe, alijiona yeye ni mungu wa bunge.

Mbowe ataachiwa kwa Nole wala hilo lisikupe tabu.

Mama ameshatambuwa maadui zake siyo upinzani bali wanafki waliopo ccm.

Kwa sasa serikali haina interest na kesi ya Mbowe, magaidi wameshajitokeza wenyewe wacha washughulikuwe.

Mbowe anaachiwa very soon bila madharti yoyote.

Tuache magaidi na wahaini waangamizwe na kuteketezwa kabisa.
 
Mgogo sawa na mmakonde. Msaidie chochote kesho hata sura yako haikumbuki.
Nimekua Dodoma vile vile nimekaa Mtwara na mikoa mingine mingi.
Shy , Toronto, that etc
😀😀😀 Ni watu hatari unawajua vizuri tena wanaomba balaa anaweza akakuomba ukampa akasahau akaja kuomba tena hicho kitu.
 
Job akiyamaliza na Mama utaona wote wanavyogeuka kumpongeza.
Unafiki na CCM ni Kulwa na Dotto
Hakuna compromise na wahaini kama huyo Ndugai.

System inataka kutowa clear msg kwa wahuni wote wa Sukuma gang.
 
Back
Top Bottom