Mbunge Livingstone Lusinde amtaka Spika Ndugai ajiuzulu, asema hata ombi lake la msamaha lilikuwa la uongo

Ole wake mbunge wa CCM ambaye hatatoka hadharani na kumtaka Ndugai ajiuzuru
 
Mgogo sawa na mmakonde. Msaidie chochote kesho hata sura yako haikumbuki.
Nimekua Dodoma vile vile nimekaa Mtwara na mikoa mingine mingi.
Shy , Toronto, that etc
Toronto kuna huo usnitch pia?
 
Lissu alishasemaga,wanaccm msifurahie kuteswa na kuumizwa sie wapinzani,wakishatumaliza sie watakuja kwenu,ndicho ninachokiona
Hao watu ni manabii sn na lema
 
Malipo ni hapa hapa duniani. Mungu wetu ni kijana mnoo.. Kuna alie ua watu sasa nae kesha oza. Ndugai akiona uspika kama Mungu wa mjengoni. Leo ana sulubiwa, Lissu ana kula bata. Yaani, Ccm mtafika motoni mkiwa mmechoka sana.
Watoto wadogo waliokufa nao waliua? Kaka yake Mbowe aliyekufa na Corona naye aliua?
 
Wewe kweli unavuta cannabis. Hayo lazima yalikuwa ni makubaliano ya awali. Hata kama hakujadiliana na baraza la mawaziri lakini mawaziri pia ni wabunge kwahiyo walipata nafasi ya kuujadili na kuupigia kura muswada bungeni!
 

Naona upo obsseced na CHADEMA Sana. Kabla hujaongea Jambo fanya utafiti. Wewe unalaumu bila kupata taarifa za msingi.

Kwanza, fahamu ya kwamba suala la Mbowe kuwa mahabusu bado linaendelea halijaisha. Juzi tu hapa ulitokea ombi la mbowe kuomba msamaha Ili asamehewe CHADEMA ikaktaa. Kwani kuomba msamaha itakuwa kukubali makosa na kujishusha kwa Mwenyekiti wa CCM. Ukumbuke kesi imehairishwa tangu mwezi wa kumi na mbili nadhani itaendelea tarehe 14 January. Tusubiri mahakama itoe maamuzi yake iwe Ni batili au sahihi hiyo ndio utawala wa sheria. Wewe ultaka CHADEMA wavamie mahakama na kumtoa Mh Mbowe?. Pia mahakamani Viongozi wanahudhuria.

Pili, Kuhusu suala la uchaguzi ,CHADEMA walituma barua ikulu kwa ajili ya kuonana na Rais na Rais alijibu ombi lao nankukubali kuonana nao ila hakutoa tarehe rasmi. Hivyo, bado wanasubiri siku ambayo Rais atawalika ikulu wakaeleze dukuduku lao.

Tatu, tujifunze kuangalia Mambo kwa upana wake. Mgogoro Kati ya Speaker na Rais Ni advantage kwa CHADEMA maana speaker amewaumiza Sana bunge lililopita na Bunge la Sasa kwa kutokuheshimu maamuzi yao na kuruhusu wabunge 19 ambao chama hakikuwateua na ambao chama hakiwatambui. Hivyo wanaangalia kwa umakini ya kwamba iwapo speaker atajiudhuru, je anayekuja anaweza kusikiliza madai yao?.
 
Obsessed or obsseced?..ukifuatilia sana hoja yangu kwa tafakuri utaelewa tu.. !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…