Umemaliza yote kiongozi..ni kama uone KOBE mtiniAlitolewa Tarime alikokuwa anahudumu kwenye chama akapewa pesa na kundi fulani ili akamtoe mzee Malecela, Hii ilikiwa maandalizi ya 2015.
UKipenda mtangaze tu shujaa wa familia yako, inaonekana kwenu neno shujaa halina maana kabisa
Naunga, mkono hoja, Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.Mbunge Lusinde atangazwe shujaa Africa kama kijana mtaka mabadiliko ya wabunge kumpiga chini waziri mkuu Malechela mwenye Cv kibao na Pesa
Livingstone Lusinde darasa la saba primary leaver mwenye certificate ya darasa la saba tu alimbwaga aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania mwenye Cv kubwa na madigrii kibao
Sometimes I WONDER😆
Ungekaa kimya ingekusaidia kuficha upumbavu wako!Mbunge Lusinde atangazwe shujaa Africa kama kijana mtaka mabadiliko ya wabunge kumpiga chini waziri mkuu kikongwe Malechela mwenye Cv kibao na Pesa Malecela