Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Status
Not open for further replies.
MMSIPENDE KUJITEKENYA NA KUCHEKA WENYEWE MTOA UZI NI JIZI NA ANAEMSAPOTI MWENDAWAZIMU HUU NI UPUUZI MTUPU.

Umeona mkuu! JF imegeuka kutoka Home of Great thinker kuwa Home of Majungu na unafiki. Wale tuliokuwa tunaamini kakikundi haka ka Lumumba kuwa kanaweza kuwa na hoja hata kidogo fikirishi kumbe hali ndio hii?
Ni aibu kubwa sana.
 
Ww unaanzisha mada halafu thread nzima unachangia ww mwenyewe hujistukii?,nn cha ajabu hata akiondoka maisha yataendelea kma kawaida wala hayatasimama
Mkuu mbona una hasira sana? Vipi unamjua muhusika?
 
Unajizungusha weee... siuseme tu ...watu wengine bhana!
 
Tarehe kumi leo......
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…