Mbunge Martha Gwau Ahimiza Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia Wilaya ya Mkalama, Singida

Mbunge Martha Gwau Ahimiza Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia Wilaya ya Mkalama, Singida

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE MARTHA GWAU AHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WILAYA YA MKALAMA, SINGIDA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Marha Nehemia Gwau amefanya ziara Wilaya ya Mkalama na kupokelewa kwa shangwe na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi na Jumuiya zake wa Wilaya ya Mkalama

Mhe. Martha Nehemia Gwau ametembelea jengo la nyumba ya Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) linaloendelea na ujenzi hatua ya lenta na kuahidi kutoa vifaa vya kufunga lenta na kumalizia ujenzi ili hatua ya kuezekeka bati iendelee.

Aidha, Mhe. Martha Nehemia Gwau amegawa vitendea kazi vya Ofisi kwa Makatibu wa Kata ili wakafanye kazi katika mazingira rahisi kwa kuwapa Kalamu, Mafaili, Rimu na Notebook

Pia, Mhe. Martha Nehemia Gwau ametembelea Shina Namba 7 la Kitongoji cha Barabarani Kijiji cha Miganga na kupandisha bendera na baada ya hapo amefanya mkutano wa hadhara Kijiji cha Miganga kwaajili ya kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha Daftari la Kudumu la Mpiga Kura

Vilevile, Mhe. Martha Nehemia Gwau alisikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi ambapo ameendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan kutumia Nishati Safi ya kupikia bila kuathiri Misitu na kugawa Majiko ya Gesi kwa Mama Lishe.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.18.00(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.18.00(1).jpeg
    374.3 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.20.44.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.20.44.jpeg
    408.6 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.20.43.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.20.43.jpeg
    470.1 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.23.10.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.23.10.jpeg
    411.1 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.23.11(2).jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.23.11(2).jpeg
    421.5 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.23.12.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.23.12.jpeg
    462.4 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.27.10(2).jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.27.10(2).jpeg
    414.1 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.27.11(2).jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.27.11(2).jpeg
    446.7 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.32.38.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.32.38.jpeg
    557.4 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.35.14(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.35.14(1).jpeg
    589.7 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.37.15(2).jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.37.15(2).jpeg
    365.3 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.37.18(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 09.37.18(1).jpeg
    397.8 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 12.42.30.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 12.42.30.jpeg
    231.3 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-30 at 12.42.27(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-30 at 12.42.27(1).jpeg
    178.4 KB · Views: 3
Mh Martha tunamuoba afike na kwetu huku aje awahamasishe wananchi wa kwetu . Sisi sote tunatakiwa kuwa nyuma yake katika kusukuma hili.
 

MBUNGE MARTHA GWAU AHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WILAYA YA MKALAMA, SINGIDA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Marha Nehemia Gwau amefanya ziara Wilaya ya Mkalama na kupokelewa kwa shangwe na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi na Jumuiya zake wa Wilaya ya Mkalama

Mhe. Martha Nehemia Gwau ametembelea jengo la nyumba ya Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) linaloendelea na ujenzi hatua ya lenta na kuahidi kutoa vifaa vya kufunga lenta na kumalizia ujenzi ili hatua ya kuezekeka bati iendelee.

Aidha, Mhe. Martha Nehemia Gwau amegawa vitendea kazi vya Ofisi kwa Makatibu wa Kata ili wakafanye kazi katika mazingira rahisi kwa kuwapa Kalamu, Mafaili, Rimu na Notebook

Pia, Mhe. Martha Nehemia Gwau ametembelea Shina Namba 7 la Kitongoji cha Barabarani Kijiji cha Miganga na kupandisha bendera na baada ya hapo amefanya mkutano wa hadhara Kijiji cha Miganga kwaajili ya kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha Daftari la Kudumu la Mpiga Kura

Vilevile, Mhe. Martha Nehemia Gwau alisikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi ambapo ameendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan kutumia Nishati Safi ya kupikia bila kuathiri Misitu na kugawa Majiko ya Gesi kwa Mama Lishe.
Ili watanzania wengi tumudu kupikia nishati SAFI , suluhu ni kupunguza Bei ya umeme. VITENDO hujibu zaidi kuliko maneno !
 
Back
Top Bottom