Mbunge Martha Mariki achangia Mifuko Ishirini ya Saruji kwaajili ya Ujenzi wa Miundombinu ya Shule ya Msingi

Mbunge Martha Mariki achangia Mifuko Ishirini ya Saruji kwaajili ya Ujenzi wa Miundombinu ya Shule ya Msingi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
MBUNGE MARTHA FESTO MARIKI, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi Atimiza Ahadi yake ya kuchangia Mifuko ya Saruji Ishirini (20) kwaajili ya Ujenzi wa Miundombinu ya Shule ya Msingi Majengo.

Mbunge Martha Mariki aliambatana na viongozi waandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Mpanda alipotembelea Kata ya Majengo katika Shule ya Msingi Majengo ili kutimiza ahadi yake.

Aidha, Martha Mariki amesema kuwa pamoja na kwamba Mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa wameshajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ila amesisitiza na kuomba zoezi lirudiwe maana watu hawajaisha

Vilevile, Mbunge Martha Mariki alisisitiza Wanawake Wajitokeze kuwania nafasi kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Unaotarajiwa Kufanyika Mwezi Novemba, 2024 na kuwasihi kuendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya nchini ikiwemo Mkoa wa Katavi.

WhatsApp Image 2024-08-02 at 06.26.42.jpeg
WhatsApp Image 2024-08-02 at 06.26.43.jpeg
WhatsApp Image 2024-08-02 at 06.26.43(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-08-02 at 06.26.44.jpeg
 
MBUNGE MARTHA FESTO MARIKI, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi Atimiza Ahadi yake ya kuchangia Mifuko ya Saruji Ishirini (20) kwaajili ya Ujenzi wa Miundombinu ya Shule ya Msingi Majengo.

Mbunge Martha Mariki aliambatana na viongozi waandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Mpanda alipotembelea Kata ya Majengo katika Shule ya Msingi Majengo ili kutimiza ahadi yake.

Aidha, Martha Mariki amesema kuwa pamoja na kwamba Mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa wameshajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ila amesisitiza na kuomba zoezi lirudiwe maana watu hawajaisha

Vilevile, Mbunge Martha Mariki alisisitiza Wanawake Wajitokeze kuwania nafasi kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Unaotarajiwa Kufanyika Mwezi Novemba, 2024 na kuwasihi kuendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya nchini ikiwemo Mkoa wa Katavi.

View attachment 3059628View attachment 3059629View attachment 3059630View attachment 3059631
Hii nayo habari mifuko 20 sawa na laki 4 huko ccm wengi ni vichaa
 
Mifuko 20*19,000@=380,000/=
Hii Nchi masihara yamezidi kwa kweli
 
Mifuko 20 yaani laki 3 ni habari ya ku post huku? Huyu mbunge maskini kabisa wa akili kabisa na moyo wa kimaskini kabisa
 
jamani hayo siyo mambo yakutwambia na wewe katibu wake hauoni aibu...eebu JITAFAKARI aiseee..
 
Back
Top Bottom