Mbunge MARTHA MLATA

Status
Not open for further replies.
huyo mbunge hamna kitu, kuna rafiki yangu alikuwa naye anasoma huko. kila kukicha anapigiwa simu na huyo mama akitaka asaidiwe kujibu essays/homeworks. hamna kitu!!!

Linahusiana vipi na thread husika?

Akili ni nywele ndugu yangu kila mtu ana zake, na kukosa akili za darasani, sio kwamba hana akili za maisha na sio kwamba hawezi kuongoza. And may be ni katika mambo ya Team work na sio kwamba anaomba majibu kama unavyosema wewe.

MAJUNGU HAYAJENGI NA HAYATUFIKISHI POPOTE!
 

....duh, kaaaaazi kweli kweli!!
 

Una sound kama BALOZI MWANAIDI kwenye mkutano wa DIASPORA eti tukitaka kuzungumza yetu kukaongelee ofisini kwake au TA

acha hizo
 
hivi huyu mama ametumwa na nani? kwenda kufungua matawi ya ccm chama kinachochungulia kaburi huko uingereza? aje hapa asaidiane na wana kijiji wenzake wa ilongero, misughaa, makiungu
 

Sasa ndugu yangu unangojea nini opportunity hiyo nenda ukawawakilishe hao mashoga
 
Mzushi tu huyo. Alishindwa ndoa(alikuwa mke wa prof mmoja wa mlimani anakaa mbezi), akawatelekeza watoto akaamua kujichanganya na sisiem. Chakula ya wakubwa hiyo. Kuweni makini mnaomwandama.
 
Mzushi tu huyo. Alishindwa ndoa(alikuwa mke wa prof mmoja wa mlimani anakaa mbezi), akawatelekeza watoto akaamua kujichanganya na sisiem. Chakula ya wakubwa hiyo. Kuweni makini mnaomwandama.

Tangu mwanzo wa thread hii mpaka hapa hakuna jipya ila umbea. Hivi kwa mtu uliye busy na masuala ya maisha una muda wa kuleta picha za kutuambia alikua anaimba kwaya sasa anaimba twanga pepeta? Kuna ISSUE gani hapo ambayo unataka tuione au tuijadili. Kama mmegombana naye nendeni mkamalizane naye, msilete umbea. Au wewe ndiye mumewe roho inakuuma alikuacha?
 
Namfahamu sana huyu mama personal ukimwangalia umbo lake utapata jibu kwa nini amepata nafasi ya ubunge wa viti maalum kutoka kwa watu maalum



Hapa alimaliza na aligraduate.

Mwacheni Mama wa watu, kwanza amejaaliwa sana tuu mpaka leggyline na haringi, anajichanganya na watu wa aina zote, kwa kifupi she is down to earth.

Mbona kuna wabunge wengi tuu wanaingia mjengoni kupendezesha tuu jengo, lakini hamuwaulizii, whats so special about Martha?.
 

Attachments

  • Mhe. Martha Mlata, Mmoja wa Wabunge waliojaliwa!.jpg
    17.9 KB · Views: 208
chakula cha wakubwa.viti maalum?
how comes ni mbunge ,wakati anasoma full time ughaibuni?
ndio demokrasia ya tanzania
 
Mzushi tu huyo. Alishindwa ndoa(alikuwa mke wa prof mmoja wa mlimani anakaa mbezi), akawatelekeza watoto akaamua kujichanganya na sisiem. Chakula ya wakubwa hiyo. Kuweni makini mnaomwandama.

ahhh bwana weeee

duh!
 

Uonevu mtupu! huko UK kuonekana ktk misiba na harusi ndyo kipimo cha utu?
 
Uonevu mtupu! huko UK kuonekana ktk misiba na harusi ndyo kipimo cha utu?

Kwanza bora alivyokuwa haendi kwa watu, maana huko ughaibuni ukitafuta watanzania ni kujitafutia matatizo. Si wanawake si wanaume wote ni umbea na majungu tu ughaibuni.
 
Mkichunguza wakina Martha mlatta bungeni ni wengi sana.Wanayostahili kuwa wabunge ni wachache sana pale.Kuna jamaa kashangaa mtu wa form 4 wako wa darasa la saba
 
Sumaye mhuni sana unajua


Ehe, tupe story ya Sumaye na Martha, may be hiki ndicho chanzo cha hii thread. Wataje ma girlfriend zake wote, waanzishie thread hapa JF. Halafu wataje wa Rais, Waziri Mkuu, Lowassa, Sitta, nk nk nk, waanzishie thread zote, shughuli wanazofanya, wanaimba nini, elimu yao, nk. If you cannot do that, then leave Martha alone. Hapa JF kuna thread msururuuuu, ongeza tuu, wenye kusoma wasome, kama sisi tulioko hapa. Ehe.....
 
hhaha yaani nimesoma weee mwisho wa thread nimevuta pumzi na kukosa la kuchangia
ngoja nianze kumchunguza huyu mama kwa sasa No data
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…