uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamani ni yule shetwani wa engineering???????????????????????????????mmmmmhhh mbona na huyu mama awafanani???????????maskini alikiingia kwenye kichaka///pole mama yangu endelea kumshika mungu yuko pamoja nawe awezi kukuacha
yuko UK sasa mwaka wa Pili anasoma pale Westminster. Lakini cha ajabu hatumuoni kwenye misiba wala magonjwa lakini anaonekana sana kwenye mikutano ya kufungua matawi ya CCM uingereza nzima.
Swali ninalojiuliza ni je anasoma saa ngapi na saa ngapi anakuwa yuko kwenye shughuli alizochaguliwa kufanya?
SHy,
Mbunge Tom Mwangonda hajawai kuchangia hoja yoyote tangu achaguliwe, na bungeni haonekani...ni uchapaji kazi gani huo unaosema
Nimefuatilia kwa makini thread ya mbunge wa viti maalum, Martha Mlata.
Mimi binafsi nimekutana na huyu mama, ni mwenyeji wa Singida.
Hakufanikiwa kupata elimu ya juu (A-level+university).
Akabahatika kuolewa na Dr. wa hapo UDSM. Kwa kumwangalia mama ni mzuri kwa kweli tusifu uumbaji. Vigogo hawawezi kuvumilia pindi akiwapitia karibu.
Maisha ya honeymoon yalikuwa mazuri tu, ila baada ya kupata mtoto wa pili, maisha yalianza badirika, ukichanganya Dr. kujenga nyumba ya ghorofa, ikawa shida moja kwa moja.
Ndoa iliingiliwa na ndugu, huyo "Dr. ni NSHOMILE" mnawajua hawa ndugu zetu. Hata kwenye sherehe wewe kama huna jina la kihaya utaambulia kunywa maji ya chupa, wakikuheshu sana.
Dr. akaambiwa aowe mhaya, martha siyo mke. sijui Dr. naye karogwa!! akaanza kumfanyia vituko, kumpiga hata kutaka kummuua huyu mama.
Hii ndiyo iliyomtoa Martha ktk ndoa yake. Dr. akachukua vitoto kuvipeleka boarding school, na kumwekea mama wanted kuona watoto.
Martha asili yake ni mwimbaji kwaya kanisani, ndiko alikotokea kabla ya kuolewa, hata baada ya ndoa yake Martha aliendelea kumwimbia Mungu. Huenda huko ndiko Mungu alikomtoa na kumweka hapo alipo.
Binadamu tuna mapungufu mengi tu, lakini tukipatiwa nafasi nadhani kila mmoja wetu anaweza akafanya vizuri.
Binafsi naona hatua aliyochukua huyu mama ya kwenda masomoni inaonyesha kweli she need a change. Huenda kutokuwa na elimu pia kulipelekea ndoa yake kwenda mlama. ingawa hata wasomi ndoa zao zinamatatizo.
Wabunge VIHIYO ni wengi sana bungeni, issue je wanatumiaje nafasi hii kujinasua ktk hali ya uvihiyo? Je ipi inapendeza, kwa Martha kwenda shule au kwa John Komba nawengine kununua degrees?
Hadija Kopa ni mjumbe wa NEC Je ana elimu na uwezo gani wa kutuchagulia Rais?? na wengine wengi tu.
Uliyekerwa na Martha kwamba hahudhurii shida na sherehe za watu, ni vyema ukamwambia, kuliko kumzungumzia ubaya. Kila mtu ana uhuru wa maisha yake.
Wa-Tanzania, mara zote mke anaposhindwa kuvumilia yanayomsibu ndani ya nyumba, aondokapo basi lawama anarushiwa yeye, kwamba amekimbia ndoa na kwenda kufanya umalaya. Akina mama wengine wamefikia hata kuuawa na waume zao, kwa kungángánia kulinda heshima ya ndoa.
Ni wamama wengi wanapitia maisha ya kunyanyaswa ktk ndoa zao, wengi wanakata tamaa, wanaoinuka na kuendelea na maisha ni jambo la kuwapongeza.
Jamani tubadirike na tujifunze kuheshimu maamuzi ya wenzetu, bado tuna nafasi ya kuwashauri wale wanaohitaji mawazo. Tuwape nafasi wale walioathirika na mfumo dume wa maisha, ndiyo maana hii JF inatufunza mengi. Na kupitia hii JF tunaupiga vita ufisadi, tunajifunza jinsi ya kuwapenda na kuwasaidia wenzetu, wasio na ajira wanapatiwa links za ajira n.k.
Asante.
Nimefuatilia kwa makini thread ya mbunge wa viti maalum, Martha Mlata.
Mimi binafsi nimekutana na huyu mama, ni mwenyeji wa Singida.
Hakufanikiwa kupata elimu ya juu (A-level+university).
Akabahatika kuolewa na Dr. wa hapo UDSM. Kwa kumwangalia mama ni mzuri kwa kweli tusifu uumbaji. Vigogo hawawezi kuvumilia pindi akiwapitia karibu.
Maisha ya honeymoon yalikuwa mazuri tu, ila baada ya kupata mtoto wa pili, maisha yalianza badirika, ukichanganya Dr. kujenga nyumba ya ghorofa, ikawa shida moja kwa moja.
Ndoa iliingiliwa na ndugu, huyo "Dr. ni NSHOMILE" mnawajua hawa ndugu zetu. Hata kwenye sherehe wewe kama huna jina la kihaya utaambulia kunywa maji ya chupa, wakikuheshu sana.
Dr. akaambiwa aowe mhaya, martha siyo mke. sijui Dr. naye karogwa!! akaanza kumfanyia vituko, kumpiga hata kutaka kummuua huyu mama.
Hii ndiyo iliyomtoa Martha ktk ndoa yake. Dr. akachukua vitoto kuvipeleka boarding school, na kumwekea mama wanted kuona watoto.
Martha asili yake ni mwimbaji kwaya kanisani, ndiko alikotokea kabla ya kuolewa, hata baada ya ndoa yake Martha aliendelea kumwimbia Mungu. Huenda huko ndiko Mungu alikomtoa na kumweka hapo alipo.
Binadamu tuna mapungufu mengi tu, lakini tukipatiwa nafasi nadhani kila mmoja wetu anaweza akafanya vizuri.
Binafsi naona hatua aliyochukua huyu mama ya kwenda masomoni inaonyesha kweli she need a change. Huenda kutokuwa na elimu pia kulipelekea ndoa yake kwenda mlama. ingawa hata wasomi ndoa zao zinamatatizo.
Wabunge VIHIYO ni wengi sana bungeni, issue je wanatumiaje nafasi hii kujinasua ktk hali ya uvihiyo? Je ipi inapendeza, kwa Martha kwenda shule au kwa John Komba nawengine kununua degrees?
Hadija Kopa ni mjumbe wa NEC Je ana elimu na uwezo gani wa kutuchagulia Rais?? na wengine wengi tu.
Uliyekerwa na Martha kwamba hahudhurii shida na sherehe za watu, ni vyema ukamwambia, kuliko kumzungumzia ubaya. Kila mtu ana uhuru wa maisha yake.
Wa-Tanzania, mara zote mke anaposhindwa kuvumilia yanayomsibu ndani ya nyumba, aondokapo basi lawama anarushiwa yeye, kwamba amekimbia ndoa na kwenda kufanya umalaya. Akina mama wengine wamefikia hata kuuawa na waume zao, kwa kungángánia kulinda heshima ya ndoa.
Ni wamama wengi wanapitia maisha ya kunyanyaswa ktk ndoa zao, wengi wanakata tamaa, wanaoinuka na kuendelea na maisha ni jambo la kuwapongeza.
Jamani tubadirike na tujifunze kuheshimu maamuzi ya wenzetu, bado tuna nafasi ya kuwashauri wale wanaohitaji mawazo. Tuwape nafasi wale walioathirika na mfumo dume wa maisha, ndiyo maana hii JF inatufunza mengi. Na kupitia hii JF tunaupiga vita ufisadi, tunajifunza jinsi ya kuwapenda na kuwasaidia wenzetu, wasio na ajira wanapatiwa links za ajira n.k.
Asante.
Huyu mama yuko UK sasa mwaka wa Pili anasoma pale Westminster. Lakini cha ajabu hatumuoni kwenye misiba wala magonjwa lakini anaonekana sana kwenye mikutano ya kufungua matawi ya CCM uingereza nzima.
Swali ninalojiuliza ni je anasoma saa ngapi na saa ngapi anakuwa yuko kwenye shughuli alizochaguliwa kufanya?
Maana Sumaye alipokuwa ansoma kule HARVARD huyu mama alikuwa haishiwi vijitripu vya kwenda kule Cambridge. Nimepata nafasi kadhaa kuongea naye kwa karibu lakini naweza kusema kuwa sijui alikuwa na sifa zipi mpaka JK akampa huo ubunge wa kuteuliwa
Uwanja wenu wana JF
huyo Ni Mbunge wa Watanzania Uingereza?
Na huyu Binti Mam mungula yeye ni Chama cha Magamba fanatic maana naona kila workshop,tawi,shughuli ya CCM Ukonga yupo hivi si arudi kinondoni aje agombee ubunge.