Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mbunge Viti Maalumu Mkoa wa Singida Matha Gwau amesema;
"Tunamshukuru Mama Samia Suluhu Hassani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujengea shule nzuri zenye miundombinu mizuri inayowawezesha watoto wa kike kupata elimu; Hivyo niwaombe sana wadogo zangu, watoto wangu msome kwa bidii ili mtimize ndoto zenu" - Martha Nehemia Gwau
"Manyanyaso mengi kwenye jamii yanakuja pale watu wanapoona tunawategemea lakini mkisoma mkapata kazi zenu mkajitegemea wenyewe hakuna mtu atakunyanyasa, Mtoto wa Kike jiamini unaweza, Soma kwa bidii timiza ndoto zako" - Matha Nehemia Gwau.
"Tunamshukuru Mama Samia Suluhu Hassani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujengea shule nzuri zenye miundombinu mizuri inayowawezesha watoto wa kike kupata elimu; Hivyo niwaombe sana wadogo zangu, watoto wangu msome kwa bidii ili mtimize ndoto zenu" - Martha Nehemia Gwau
"Manyanyaso mengi kwenye jamii yanakuja pale watu wanapoona tunawategemea lakini mkisoma mkapata kazi zenu mkajitegemea wenyewe hakuna mtu atakunyanyasa, Mtoto wa Kike jiamini unaweza, Soma kwa bidii timiza ndoto zako" - Matha Nehemia Gwau.