Mbunge Medard Kalemani umeshindwa kupiga kelele ili stendi ya mabasi Chato ifanye kazi?

Mbunge Medard Kalemani umeshindwa kupiga kelele ili stendi ya mabasi Chato ifanye kazi?

Maswa Yetu

Senior Member
Joined
Mar 18, 2023
Posts
155
Reaction score
217
Jimbo la Chato ni kama limetelekezwa na mbunge wake Medard Kalemani kwani toka atumbuliwe kwenye nafasi yake ya waziri wa nishati amegeuka bubu.
Chato ilijengwa stendi nzuri sana ya mabasi lakini leo ni mwaka wa nne toka ikamilike lakini haitumiki! Yani wananchi wa Chato wanateseka kwa kuchomwa na jua kwenye stendi ya mavumbi wakati stendi nzuri yenye kila kitu ipo. Kinachosikitisha zaidi ni mbunge Medard Kalemani kukalia kimya jambo hili.
 
Chato siku hizi ni kama sio sehemu ya Tanzania, imesahaulika kabisa kwa kila kitu, nafikiri kuna uzembe wa makusudi wa kutofanya chochote kwenye jimbo hilo unaofanywa na awamu ya sita ambayo inajinadi kuwa ni awamu ya watanzania wote.
 
Hapo Mbunge anahusikaje?
Madiwani na halmashauri yao ya wilaya wanasemaje?
 
Chato siku hizi ni kama sio sehemu ya Tanzania, imesahaulika kabisa kwa kila kitu, nafikiri kuna uzembe wa makusudi wa kutofanya chochote kwenye jimbo hilo unaofanywa na awamu ya sita ambayo inajinadi kuwa ni awamu ya watanzania wote.
Uwanja wa ndege unapiga kazi
 
Chato siku hizi ni kama sio sehemu ya Tanzania, imesahaulika kabisa kwa kila kitu, nafikiri kuna uzembe wa makusudi wa kutofanya chochote kwenye jimbo hilo unaofanywa na awamu ya sita ambayo inajinadi kuwa ni awamu ya watanzania wote.
Hii yote sababu mbunge ni bubu
 
Jimbo la Chato ni kama limetelekezwa na mbunge wake Medard Kalemani kwani toka atumbuliwe kwenye nafasi yake ya waziri wa nishati amegeuka bubu.
Chato ilijengwa stendi nzuri sana ya mabasi lakini leo ni mwaka wa nne toka ikamilike lakini haitumiki! Yani wananchi wa Chato wanateseka kwa kuchomwa na jua kwenye stendi ya mavumbi wakati stendi nzuri yenye kila kitu ipo. Kinachosikitisha zaidi ni mbunge Medard Kalemani kukalia kimya jambo hili.
Wala hausiki, check na DED
 
Bora asirudi kabisa ili atafutwe mtu wa kuvaa viatu vya Hayati Magufuli kwenye jimbo la Chato
Hivi nyakati zote za magufuli kuwa Mbunge wa Chato alisimamia kitu gani kikatekelezwa?
Unazungumzia wananchi wanapigwa na jua stendi yenye vumbi ipi?
Stendi zilikuwa zinajengwa mbili Chato, ya magari madogo na magari makubwa Mabasi.
Upande wa magari makubwa ilikamilika lakini bado ukubwa wake unazidi magari yanayoingia ndani ya chato.
Sasa jiulizie kama stendi ndogo inatatua tatizo na itaendelea mpaka miaka 10 ijayo kama ukuaji wa Chato itaendelea kwa speed hii.
Kuna haja gani ya kumalizia stendi ya mabasi? Yaani stendi ya mabasi 30 imalizike kwa ajili ya kupokea na kuruhusu mabasi 4 yanayopita kwa siku kwenda Bukoba?
Ushauri: Serikali ibadili stendi kuu ya Chato kuwa shule ya msingi. Kwani stendi ya magari madogo yanatosha sana.

Kipindi cha awamu ya tano vitu vilijengwa bila kuangalia mahitaji halisia ya wakati huu na wakati ujao. Nenda stendi kuu ya Mabasi ya Dodoma..panda gorofa ya kwanza, ofisi hazitumiki ceiling tiles zinatondoka no one cares...jengo linahitaji ukarabati wakati halijakaliwa kwasababu watu walikurupuka tu kujenga, badala wangejenga na kumalizia ground floor ila wataendeleza first floor kadiri uhitaji unavyoongezeka.
 
Hivi nyakati zote za magufuli kuwa Mbunge wa Chato alisimamia kitu gani kikatekelezwa?
Unazungumzia wananchi wanapigwa na jua stendi yenye vumbi ipi?
Stendi zilikuwa zinajengwa mbili Chato, ya magari madogo na magari makubwa Mabasi.
Upande wa magari makubwa ilikamilika lakini bado ukubwa wake unazidi magari yanayoingia ndani ya chato.
Sasa jiulizie kama stendi ndogo inatatua tatizo na itaendelea mpaka miaka 10 ijayo kama ukuaji wa Chato itaendelea kwa speed hii.
Kuna haja gani ya kumalizia stendi ya mabasi? Yaani stendi ya mabasi 30 imalizike kwa ajili ya kupokea na kuruhusu mabasi 4 yanayopita kwa siku kwenda Bukoba?
Ushauri: Serikali ibadili stendi kuu ya Chato kuwa shule ya msingi. Kwani stendi ya magari madogo yanatosha sana.

Kipindi cha awamu ya tano vitu vilijengwa bila kuangalia mahitaji halisia ya wakati huu na wakati ujao. Nenda stendi kuu ya Mabasi ya Dodoma..panda gorofa ya kwanza, ofisi hazitumiki ceiling tiles zinatondoka no one cares...jengo linahitaji ukarabati wakati halijakaliwa kwasababu watu walikurupuka tu kujenga, badala wangejenga na kumalizia ground floor ila wataendeleza first floor kadiri uhitaji unavyoongezeka.
Una akili fupi sana ndiyo ulipinga hata ujenzi wa bwawa la umeme.

Magufuli alikuwa anajenga miradi ya kutatua tatizo kwa miaka 50 ijayo, wakati wewe akili yako ni kutatua tatizo kwa miaka 2!
 
Kalemani ni useless mbunge, mtu ambaye hata familia yake haijali sembuse jimbo. In fact hakupaswa kuwa mbunge maana hana upendo na siyo mbunifu. Ni bora Kulwizira aka Lukanima anafaa kuwa Mbunge, ni mtu wa watu na mchapa kazi.
 
Kalemani ni useless mbunge, mtu ambaye hata familia yake haijali sembuse jimbo. In fact hakupaswa kuwa mbunge maana hana upendo na siyo mbunifu. Ni bora Kulwizira aka Lukanima anafaa kuwa Mbunge, ni mtu wa watu na mchapa kazi.
ALichoongea kina fact au hakuna?
 
Una akili fupi sana ndiyo ulipinga hata ujenzi wa bwawa la umeme.

Magufuli alikuwa anajenga miradi ya kutatua tatizo kwa miaka 50 ijayo, wakati wewe akili yako ni kutatua tatizo kwa miaka 2!
Acha upumbavu, jengo unalijenga ili ikae idle ije itumike baada ya miaka 30? Hizo pesa ni mawe unazizika kwenye dead projects. Kwa maana nyingine ni kuwa stend ya Chato ikikamilishwa kuna tatizo gani itatuliwa ambayo haijatatuliwa kwa stendi iliyopo sasahivi.
 
Acha upumbavu, jengo unalijenga ili ikae idle ije itumike baada ya miaka 30? Hizo pesa ni mawe unazizika kwenye dead projects. Kwa maana nyingine ni kuwa stend ya Chato ikikamilishwa kuna tatizo gani itatuliwa ambayo haijatatuliwa kwa stendi iliyopo sasahivi.
Una upumbavu mwingi sana kichwani mwako, hata SGR inaweza kukaa idle kama uongozi uliopo madarakani ni dhaifu.
 
Back
Top Bottom