Mbunge Mhe. Abubakar Asenga aomba Serikali kumuondolea laana ya Askofu

Mbunge Mhe. Abubakar Asenga aomba Serikali kumuondolea laana ya Askofu

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE ABUBAKAR ASENGA AMEIOMBA SERIKALI KUONDOA MGOGORO WA ARDHI KILOMBERO

Mbunge wa Jimbo la Kilombero (CCM), Mhe. Abubakar Asenga ameiomba Serikali ikamsaidie kupima ardhi ya wananchi ili akwepe laana ya Askofu.

Mhe. Abubakar Asenga ametoa kauli hiyo Alhamisi Mei 25,2023 wakati akichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Mhe. Abubakar Asenga amesema katika Jimbo lake kuna mgogoro wa siku nyingi kati ya wananchi na Kanisa Katoliki ambao unahitaji busara ya Serikali baada ya Askofu kuamua kuacha mgogoro.
 

Attachments

  • l.jpg
    l.jpg
    102.9 KB · Views: 15
  • l1.jpg
    l1.jpg
    102.4 KB · Views: 15
Back
Top Bottom