Mbunge mpya wa jimbo la Kalenga hana sifa kuingia bunge la katiba

Mbunge mpya wa jimbo la Kalenga hana sifa kuingia bunge la katiba

SUBE2021

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
348
Reaction score
101
Nitashangaa sana kama wajumbe na wanasheria maili wakiacha na hili lipite tu. Ninavyojua ili uwe mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano unahitaji kuchaguliwa ama kuteuliwa na baadha ya kutangazwa mshindi unaenda mchakato wa mwisho ambapo unaapishwa na Spika wa bunge mbele ya kikao cha Bunge. Sasa binafsi natambua Mheshimiwa Mgimwa Junior ni Mbunge Mteule wa Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Jimbo la Kalenga mara baada ya kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa mshindi. Lakini nijuavyo kwa sasa bunge maalum la katiba linaendelea na hivyo hakuna vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambavyo vitamfanya Mhe. Mgimwa kuapishwa. Sasa Je Spika ataitisha kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano ili kumwapisha? Pili Je atakuwa na nguvu ipi kuingia Bunge la katiba huku akiwa Bado hajatimiza matakwa ya kisheria ya kuwa Mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano?

Najua kama inalazimu ale kiapo Spika na Serikali hawashindwi kuitisha Bunge la Jamhuri ya Muungano hata kwa Dk tano na wakapata posho na kumwapisha na kisha kurihairisha ili mradi kumfanya atimize sifa za kisheria kuingia bunge maalum la katiba. Je ingekuwa kwa mfano kachukua mbunge wa Upinzani, Bunge linaweza kufanya chochote kwa dharura katika hali kama hii?
 
Ni Maoni yangu nakaribisha hoja za wadau tujadili kwa kina
 
Sasa wewe unataka nini? Naona unazunguka zunguka wakati jibu unalo.

Huu sasa ni utoto humu JF, jamani someni kila kitu kipo kwenye kanuni za bunge.
 
Sasa wewe unataka nini? Naona unazunguka zunguka wakati jibu unalo.

Huu sasa ni utoto humu JF, jamani someni kila kitu kipo kwenye kanuni za bunge.

Hivi Hamida unavyo post utumbo huku jf huwa unasoma kwanza?
 
Nitashangaa sana kama wajumbe na wanasheria maili wakiacha na hili lipite tu. Ninavyojua ili uwe mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano unahitaji kuchaguliwa ama kuteuliwa na baadha ya kutangazwa mshindi unaenda mchakato wa mwisho ambapo unaapishwa na Spika wa bunge mbele ya kikao cha Bunge. Sasa binafsi natambua Mheshimiwa Mgimwa Junior ni Mbunge Mteule wa Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Jimbo la Kalenga mara baada ya kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa mshindi. Lakini nijuavyo kwa sasa bunge maalum la katiba linaendelea na hivyo hakuna vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambavyo vitamfanya Mhe. Mgimwa kuapishwa. Sasa Je Spika ataitisha kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano ili kumwapisha? Pili Je atakuwa na nguvu ipi kuingia Bunge la katiba huku akiwa Bado hajatimiza matakwa ya kisheria ya kuwa Mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano?

Najua kama inalazimu ale kiapo Spika na Serikali hawashindwi kuitisha Bunge la Jamhuri ya Muungano hata kwa Dk tano na wakapata posho na kumwapisha na kisha kurihairisha ili mradi kumfanya atimize sifa za kisheria kuingia bunge maalum la katiba. Je ingekuwa kwa mfano kachukua mbunge wa Upinzani, Bunge linaweza kufanya chochote kwa dharura katika hali kama hii?


Mimi nachukia sana Wanasheria ndio wanaoiangamiza hii Dunia, kafieni Mbele!
 
Nitashangaa sana kama wajumbe na wanasheria maili wakiacha na hili lipite tu. Ninavyojua ili uwe mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano unahitaji kuchaguliwa ama kuteuliwa na baadha ya kutangazwa mshindi unaenda mchakato wa mwisho ambapo unaapishwa na Spika wa bunge mbele ya kikao cha Bunge. Sasa binafsi natambua Mheshimiwa Mgimwa Junior ni Mbunge Mteule wa Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Jimbo la Kalenga mara baada ya kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa mshindi. Lakini nijuavyo kwa sasa bunge maalum la katiba linaendelea na hivyo hakuna vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambavyo vitamfanya Mhe. Mgimwa kuapishwa. Sasa Je Spika ataitisha kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano ili kumwapisha? Pili Je atakuwa na nguvu ipi kuingia Bunge la katiba huku akiwa Bado hajatimiza matakwa ya kisheria ya kuwa Mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano?

Najua kama inalazimu ale kiapo Spika na Serikali hawashindwi kuitisha Bunge la Jamhuri ya Muungano hata kwa Dk tano na wakapata posho na kumwapisha na kisha kurihairisha ili mradi kumfanya atimize sifa za kisheria kuingia bunge maalum la katiba. Je ingekuwa kwa mfano kachukua mbunge wa Upinzani, Bunge linaweza kufanya chochote kwa dharura katika hali kama hii?
Hili halihitaji wanasheria maili, wala nini, hata mtu wa kawaida tuu asiye mwanasheria hili analijua fika!.

Ukiisha chaguliwa na wananchi na kupewa kile cheti cha NEC kukutangaza wewe ndie mbunge!, wewe tayari unakuwa ni mbunge mteule, kiapo cha bunge, kinakuwezesha wewe kuhudhuria vikao vya bunge!, Godfrey na baadae R1, mara tuu baada ya kushinda majimboni mwao na kupewa ile hati ya NEC, hao ni wabunge, halali kwa maana halisi ya wawakilishi wa wananchi!, kiapo cha ubunge ni ili kuingia bungeni tuu!.

Bunge Maalum sio bungeni, hivyo wawakilishi hawa wa wananchi, mara baada ya ushindi, watatinga rasmi Dodoma kula kiapo cha Ubunge wa Bunge Maalum, na kuhudhuria bunge maalum, kisha kikao cha bunge kitakapoitishwa, ndipo kwanza watakula kiapo cha ubunge na kuhudhuria vikao!.

Precedence ya hili ilifanywa pale wabunge walipopewa ubunge wa kuteuliwa, kisha wakateuliwa uwaziri, walikula kwanza kiapo cha uwaziri na kuanza kazi za uwaziri, kikao cha bunge kilipoanza ndipo wakaapa!.

Pasco.
 
Wenye kujua kanunu watupe hapa asije akaenda kinyemela kuongeza kura!!! kidding
 
Sasa wewe unataka nini? Naona unazunguka zunguka wakati jibu unalo.

Huu sasa ni utoto humu JF, jamani someni kila kitu kipo kwenye kanuni za bunge.

ndo tunashida na hizo kanuni sasa,tuambie ni zipi na zinasemaje
 
Godfrey Mgimwa hana sofa za kuapishwa bunge maalum la KATIBA hadi awe ameapishwa bunge la Muungano.
 
Kwanza Mgimwa jr hana mpango na bunge maalum anaenda UK kuagana na mwajiri wake barclays na kuchukua kilicho chake interms of pounds!
 
Ebu post vipi vitakavyochochea maendeleo aisee sio unakalia umbea tu ......sheria sheria kwani mtu akiingia bungeni bila kufata sheria utapungukiwa nn au akiapishwa utafaidika kwa kitu gani
 
Huyu mbunge na mwigulu na mwenyekiti wa CCM walaaniwe mpaka siku ya kufa kwao wanadhambi ya kujibu mbele ya mwenyezi mungu wanadhuluma na wanalinga mapolisi wako nyuma yao ipo siku
 
Ebu post vipi vitakavyochochea maendeleo aisee sio unakalia umbea tu ......sheria sheria kwani mtu akiingia bungeni bila kufata sheria utapungukiwa nn au akiapishwa utafaidika kwa kitu gani

maendeleo ya nchi kuwa na balance zero maendeleo gani ya saccos ya wama ikulu na kurithishana ubunge akina ridhiwani maendeleo gani nchi hii is just a lost decade mtu kaka ikulu kuharibu nchi na kuimega vipande
 
Mimi hata aje rahc kilaza bt nitafanya yale yanayonihusu tu kuhakikisha ninafanikiwa kimaendeleo sitegemei misaada kutoka kwa gvt....kama kila siku unalia na serikal je ulita serkali iwe inakupa pesa
 
Huyu hachaguliwa ili aingie bunge la katiba bali kutatua matatizo ya wanakalenga... wacha wehu
 
Nitashangaa sana kama wajumbe na wanasheria maili wakiacha na hili lipite tu. Ninavyojua ili uwe mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano unahitaji kuchaguliwa ama kuteuliwa na baadha ya kutangazwa mshindi unaenda mchakato wa mwisho ambapo unaapishwa na Spika wa bunge mbele ya kikao cha Bunge. Sasa binafsi natambua Mheshimiwa Mgimwa Junior ni Mbunge Mteule wa Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Jimbo la Kalenga mara baada ya kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa mshindi. Lakini nijuavyo kwa sasa bunge maalum la katiba linaendelea na hivyo hakuna vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambavyo vitamfanya Mhe. Mgimwa kuapishwa. Sasa Je Spika ataitisha kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano ili kumwapisha? Pili Je atakuwa na nguvu ipi kuingia Bunge la katiba huku akiwa Bado hajatimiza matakwa ya kisheria ya kuwa Mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano?

Najua kama inalazimu ale kiapo Spika na Serikali hawashindwi kuitisha Bunge la Jamhuri ya Muungano hata kwa Dk tano na wakapata posho na kumwapisha na kisha kurihairisha ili mradi kumfanya atimize sifa za kisheria kuingia bunge maalum la katiba. Je ingekuwa kwa mfano kachukua mbunge wa Upinzani, Bunge linaweza kufanya chochote kwa dharura katika hali kama hii?

Ni jambo linalowezekana sioni tatizo. Je wanasheria maili ni nani hao?
 
Back
Top Bottom